Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,223
- Thread starter
- #61
Hakuna haki ya kufanya mikutano ya hadhara, Kama mnabisha fanyeni muoneJF siku hizi imejaa ngumbaru kila mahali kiasi kwamba inaboa kuingia humu.
Unaelewa kuwa haki ya mikutano ya kisiasa siyo tu kwamba ni haki ya kikatiba bali ni universal declaration of human rights?
Nikikuita kuwa wewe ni punguani nitakuwa nimekuonea?
Unamshobokea mtu anaevunja katiba ambayo ameapa kuilinda?Wewe ni tahira?
View attachment 1833925