Mikutano ya hadhara sio ruksa, ya ndani ruksa

Mikutano ya hadhara sio ruksa, ya ndani ruksa

Wapinzani gani hawa akina salary slip na mmawia? Kwanza sio watanzania
Ama anaogopa kutengua kauli ya mwendazake, au hakua amejiandaa kuulizwa swali hilo.

Uchumi wetu ukikua sana ni 7% sasa utasubiri mpaka lini?
 
Mama kasema wazi kabisa, mikutano yenu imejaa vurugu hivyo itakimbiza wawekezaji
Mimi sijawahi kufanya mkutano wa kisiasa hata siku moja. Umeulizwa: mbona wakati wa Magufuli ilikuwa imepigwa marufuku lakini wawekezaji wakakimbia?
 
..ama anaogopa kutengua kauli ya mwendazake, au hakua amejiandaa kuulizwa swali hilo.

..uchumi wetu ukikua sana ni 7% sasa utasubiri mpaka lini?
Bavicha fanyeni kazi uchumi ukue, hayo mamikutano yenu hayana maana kabisa
 
Mimi sijawahi kufanya mkutano wa kisiasa hata siku moja. Umeulizwa: mbona wakati wa Magufuli ilikuwa imepigwa marufuku lakini wawekezaji wakakimbia?
Hakuna mwekezaji aliyekimbia, ukiona kuna aliyekimbia ujue huyo ni mwizi.
Ila kwa sasa bavicha tufanye kazi kwa bidii uchumi upande, hiyo mikutano yenu ni upuuzi
 
Bavicha fanyeni kazi uchumi ukue, hayo mamikutano yenu hayana maana kabisa

..miaka 6 ambayo Magufuli alizuia mikutano mbona uchumi haukukua?

..na mama kusema anataka uchumi ukue, au wawekezaji waje / warudi, maana yake anaituhumu awamu ya 5 kwa kuporomosha uchumi, na kufukuza wawekezaji.
 
Wawekezaji huwa wanawekeza kwenye majukwaa ya siasa?
Waandishi wameshindwa kuuliza mwenge na uviko
 
Hakuna mwekezaji aliyekimbia, ukiona kuna aliyekimbia ujue huyo ni mwizi.
Ila kwa sasa bavicha tufanye kazi kwa bidii uchumi upande, hiyo mikutano yenu ni upuuzi
Umeulizwa. Hiyo mikutano haikuwepo, tena mpaka ya ndani, mbona uchumi ulianguka mpaka mama Samia kakiri kuwa tulikuwa kwenye hali mbaya? BTW hujui hata aliyoyasema kwani amesema kabisa kuwa tangu aingia madarakani idadi ya wawekezaji imekuwa mara mbili kuliko mwaka jana.
 
..miaka 6 ambayo Magufuli alizuia mikutano mbona uchumi haukukua?

..na mama kusema anataka uchumi ukue, au wawekezaji waje / warudi, maana yake anaituhumu awamu ya 5 kwa kuporomosha uchumi, na kufukuza wawekezaji.
Vyovyote vile uchumi kwanza, hiyo mikutano yenu kafanyieni kwa sultan
 
Umeulizwa. Hiyo mikutano haikuwepo, tena mpaka ya ndani, mbona uchumi ulianguka mpaka mama Samia kakiri kuwa tulikuwa kwenye hali mbaya? BTW hujui hata aliyoyasema kwani amesema kabisa kuwa tangu aingia madarakani idadi ya wawekezaji imekuwa mara mbili kuliko mwaka jana.
Uchumi ni muhimu kuliko taarabu zenu za majukwaani
 
Vyovyote vile uchumi kwanza, hiyo mikutano yenu kafanyieni kwa sultan

..uchumi unaweza usikue.

..halafu ukafika muda haiwezekani tena kuzuia mikutano.

..nadhani amepokea ushauri mbaya kuchanganya mambo hayo wawili -- uchumi na uhuru wa kisiasa.
 
Sheria/Katiba iliyopo pamoja na ubovu wake, bado inaruhusu mikutano ya siasa, hata ya hadhara kwa wote.
MAZUIO mengi mengine yalikuwa ni matamko yaliyotokana na CCM kuuogopa upinzani HASA baada ya kujiona wazi kuwa wamepungukiwa MVUTO.
Lililopo ni kuwa, Mama pamoja ujasiri wake, bado ana kigugumizi HASA kwenye maeneo yanayo elekea kubomoa hata ya ngomeovu.
 
Mazaa amebalance ‘mchezo’ baada ya rufaa ya faini ya kina Mbowe na leo Mdude kuwa free! Hamtakiwi mfe mapema, kaeni kaeni ili mpigwe goli jingine!
 
Mkutano uliofanyika ulikuwa na upungufu mmoja mkubwa. Watu kuanza kwa kuuliza maswali yote halafu anajibu na hakuna maswali ya follow up. Nadhani walifanya hivyo makusudi ili kumuokoa kwenye maswali magumu kama hili.
Ratiba labda inabana
 
Ratiba labda inabana
Basi hakukuwa na sababu ya kuitisha. Wangesubiri mpaka muda uruhusu. BTW 1. mbona wasanii wamechukuwa muda mrefu kufanya mambo yasiyo na umuhimu? 2. Je unajua kuwa mikutano na waandishi ni moja ya kazi muhimu na za lazima za rais?
 
Hapa mama anazidi kunifurahisha, kwa sasa nchi yetu inahitaji kupaa kiuchumi na sio kupiga kelele za kisiasa. Wanaoruhusiwa ni wabunge tu kwenye maeneo yao na si vinginevyo...
Wewe nikkwa2 badilisha heading yako. Nani kakuambia mikutano ya hadhara hairuhusiwi.

Ya hadhara ndani ya eneo lako kama ni mbunge ruksa. kusema ya hadhara ni misleading statement wewe Nikkwa2 sijui chawa wake
 
Back
Top Bottom