Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,223
Hapa mama anazidi kunifurahisha, kwa sasa nchi yetu inahitaji kupaa kiuchumi na sio kupiga kelele za kisiasa. Wanaoruhusiwa ni wabunge tu kwenye maeneo yao na si vinginevyo.
Ngojeni kwanza tupae kiuchumi, wawekezaji waje wengi. Kama chama hamna wabunge fanyeni vikao vyenu vya ndani.
Mama kanyaga twende.
#kazi iendelee#
Ngojeni kwanza tupae kiuchumi, wawekezaji waje wengi. Kama chama hamna wabunge fanyeni vikao vyenu vya ndani.
Mama kanyaga twende.
#kazi iendelee#