Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

mtumishi wa uma hajui hata asilimia 50 za mkopo zinakuwaje
sio wote tunaelewa unaolingana, katika masula ya RIBA ZA MIKOPO nDio maana tuna saini tu hii MIKOPO KAUSHA DAMU BILA KUJUA riba kubwa iliyopo hasa mikopo ya muda mrefu,na tupo wengi huku kijijini..
 
sio wote tuna uelewa unaolingana katika hesabu za Riba ,ndio maana tunaji chomeka kuchukua mikopo UMIZA yenye RIBA zisizo stahimilika MIKOPO KAUSHA DAMU..tuvumiliane ,tupo wengi huku kijijini..
 
Kama benki inatumia reducing formula/ method haiwezi kuwa hivyo kweli riba ni kubwa LAKINI sio Kwa kwakiwango hicho too much chumvi
 
Kama benki inatumia reducing formula/ method haiwezi kuwa hivyo kweli riba ni kubwa LAKINI sio Kwa kwakiwango hicho too much chumvi

Jitu linakopa mil10 kwa miaka 10, Yaani ukae na hela za watu 10yrs utegemee riba ndogo, ni akili hizi au ujinga.

Kopa hela ilipwe ndani ya miezi 36, Huwezi kuona kama banks wana riba kubwa.
 
Back
Top Bottom