a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,232
- 2,417
Mikopo ya mabenki kwa watumishi wa umma ni KAUSHA DAMU
riba yake ni 50% ukikopa milioni 25 utadaiwa milioni 100,ukikopa milioni 5 utalipa milioni 10
na tena ukichukua mkopo wa muda mrefu miaka 7,8,9 ndio unajichimbia kaburi.
japo kwenye mikata yao watakuandikia riba ni asilimia 16% ila utakapoanza kilipa na deni unalodaiwa litakaloandikwa kwenye salary slipi yako ni tofauti.
KAMA INAWEZEKANA mtumishi wa umma usichukue hii mikopo ya mabenki,bora ukope kwenye vikoba/saccos.
riba yake ni 50% ukikopa milioni 25 utadaiwa milioni 100,ukikopa milioni 5 utalipa milioni 10
na tena ukichukua mkopo wa muda mrefu miaka 7,8,9 ndio unajichimbia kaburi.
japo kwenye mikata yao watakuandikia riba ni asilimia 16% ila utakapoanza kilipa na deni unalodaiwa litakaloandikwa kwenye salary slipi yako ni tofauti.
KAMA INAWEZEKANA mtumishi wa umma usichukue hii mikopo ya mabenki,bora ukope kwenye vikoba/saccos.