kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 539
- 343
Ndugu zangu wana jf ni tarifa muhimu kutoka JWTZ inayo husu mikopo kutoka kwenye maduka yao.
Kumekuwapo na wizi mkubwa ndani ya Jwtz inayo husu wanajeshi wasio kuwa watiifu ku gushi vitamburisho pamoja na peysrep kisha kwenda kujichotea mali za mamilioni ya fedha kwenye maduka hayo. Kinacho nisikitisha ni kwanini hawatangazi kuibiwa? ni kwanini wezi wanawajua lakini hawachukuliwi hatua za kisheria? Pia nilitaka kujua zile mali zinazo ibiwa zinalipwa vipi? kama sio kodi ya mkulima! Nawasilisha
Kumekuwapo na wizi mkubwa ndani ya Jwtz inayo husu wanajeshi wasio kuwa watiifu ku gushi vitamburisho pamoja na peysrep kisha kwenda kujichotea mali za mamilioni ya fedha kwenye maduka hayo. Kinacho nisikitisha ni kwanini hawatangazi kuibiwa? ni kwanini wezi wanawajua lakini hawachukuliwi hatua za kisheria? Pia nilitaka kujua zile mali zinazo ibiwa zinalipwa vipi? kama sio kodi ya mkulima! Nawasilisha