pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,579
- 2,992
Mkopo wa kwanza unaweza kuanza na milioni ngapi?, unatakiwa kuwa na amana, hisa kiasi gani?, na kuwa mwanachama kwa muda gani? marejesho baada ya muda gani.
Katika maisha watu wenye kukatisha wenzao moyo sishangai na hata kama Kuna kitu kizuri wafrica walivyo na roho mbaya hawawezi kukwambia zaidi Ni kuponda,kwa kifupi fika ofisini kwetu sinza evangelical church sacoss ltd karibu na mwika social hall halafu huakiki then utaambiwa mtafute afisa mikopo akusaidie, taratibu zote za mikopo kwa sababu meneja au muhasibu hawezi kutoka ofisini kwenda kukagua unafanya biashara gani,unaishi wapi je Una sifa za kukopa , kwa hiyo Mimi kama afisa mikopo Nina recommend wakupe mikopo au wasikupe hiyo ndio kazi ya afisa mikopo wenye akili nimewaelewesha wameelewa wamenipigia tumeelewana