umefanya mtihan wa form 6 mwaka gan?kumbuka usiambatanishe vtu vfuatavyo ktambulisho cha kaz,salary slip usiseme kama ww n mwajiriwa utapata,mm nmeanza kaz ualim mwaka 2008 naingia mwaka wa pl nalamba kama milion 3,965,500 sawa na asilimia 90% Ujanja wako ndo utakusaidia...!
nimemaliza 2009 na nimeanza kazi mwaka jana ila next year nataka kuomba chuo,sasa c unajua pesa tatizo nilikuwa cjui cha kufanya.nashukuru sana kwa kunifumbua macho.naomba zaidi ushauri wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.