Mikono ya polisi si salama tena kama hapo awali

Mikono ya polisi si salama tena kama hapo awali

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,762
Reaction score
6,591
31682501_2192426804108652_3925919048520433664_o.jpg

Zamani vilikuwa ni vituo vya usalama. Tuliozaliwa kanda ya ziwa Victoria tulikuwa tunasema Bora ukamatwe Na Polisi kuliko sungusungu.
Jeshi la jadi la sungusungu walikuwa hawana huruma. Wanapiga, wanted Na wanaua.
Salama ya wananchi ikawa ni kukimbilia Polisi.

Miaka ya juzi, Polisi wamekuwa wabambikiaji wa kesi, wasingiziaji, waporaji (rejea issue ya Zombe)

Siku za karibuni Polisi wamekuwa wauaji.
Mwangosi, Akwilina Na Heche Mungu awapumzishe kwa amani.
Polisi wa Leo ni Bora ukutane Na Kaka Jambazi maana majambazi hawapigi kipigo cha mbwa koko.
 
31682501_2192426804108652_3925919048520433664_o.jpg

Zamani vilikuwa ni vituo vya usalama. Tuliozaliwa kanda ya ziwa Victoria tulikuwa tunasema Bora ukamatwe Na Polisi kuliko sungusungu.
Jeshi la jadi la sungusungu walikuwa hawana huruma. Wanapiga, wanted Na wanaua.
Salama ya wananchi ikawa ni kukimbilia Polisi.

Miaka ya juzi, Polisi wamekuwa wabambikiaji wa kesi, wasingiziaji, waporaji (rejea issue ya Zombe)

Siku za karibuni Polisi wamekuwa wauaji.
Mwangosi, Akwilina Na Heche Mungu awapumzishe kwa amani.
Polisi wa Leo ni Bora ukutane Na Kaka Jambazi maana majambazi hawapigi kipigo cha mbwa koko.
Police nao ni binadamu wana mioyo kama yetu! Ukikamatwa acha dharau na maneno ya shombo. Tunawanyanyasa sana nao lazima wafanye ndivyo sivyo
 
Jamaa hakuungwa mkono na MTU na ndo maana anafanya ayafanyayo, tena kamwe hategemei kuungwa mkono na MTU Bali anachotegemea ni MABAVU tu !!!
Hata 2020 , yeye na chama chake hawataungwa mkono.., lakini atapita kwa 101% . . , si anategemea vijana wake polisisiem, TISS, wakuu wa Wilaya na mikoa.., wakurugenzi na Tume yake ya uchaguzi..??!
 
Back
Top Bottom