EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Mtoto wa kwanza wa marehemu Balozi Augustine Mahiga aitwaye Mikola Mahiga, maarufu kama "Mike" amefariki dunia kwa ajali ya gari huko Geneva, Uswiss alipokuwa akifanya kazi katika Taasisi mbalimbali za Kifedha na Masoko ya Mitaji akiwakilisha nchi kadhaa za Asia na Afrika.
Mikola Mahiga
Chanzo: Milard Ayo (Twitter )
Mikola Mahiga
Chanzo: Milard Ayo (Twitter )