Ndugu Wana JF hapa Dar es Salaam mbona hakuna supply wa Cable kama Mikoani. Mfano Dodoma, Iringa, Tabora, Arusha na Mwanza wanaona mpira wa England kupitia channel hizi ABU DHABI(AD SPORTS 1,2,3,4,5,6)
Pia TEN SPORTS wanarusha LIGI YA SPAIN NA ITALY.
WANAFAIDI KWELI. KUJIUNGA Ni TSH 50000 na Kila mwezi unalipa 10000 tu. Je hapa Dar es Salaam mbona hii huduma hakuna Jamani maana hivi ving'amuzi hakuna lolote sisi wapenzi wa Mpira. Maana DSTV bei iko juu sana kwa sisi watu wa uswazi. Hii imekaaje wadau
Pia TEN SPORTS wanarusha LIGI YA SPAIN NA ITALY.
WANAFAIDI KWELI. KUJIUNGA Ni TSH 50000 na Kila mwezi unalipa 10000 tu. Je hapa Dar es Salaam mbona hii huduma hakuna Jamani maana hivi ving'amuzi hakuna lolote sisi wapenzi wa Mpira. Maana DSTV bei iko juu sana kwa sisi watu wa uswazi. Hii imekaaje wadau