Mikoani wanaona english premier league through cable

Kisendi

JF-Expert Member
Jan 29, 2009
699
178
Ndugu Wana JF hapa Dar es Salaam mbona hakuna supply wa Cable kama Mikoani. Mfano Dodoma, Iringa, Tabora, Arusha na Mwanza wanaona mpira wa England kupitia channel hizi ABU DHABI(AD SPORTS 1,2,3,4,5,6)

Pia TEN SPORTS wanarusha LIGI YA SPAIN NA ITALY.

WANAFAIDI KWELI. KUJIUNGA Ni TSH 50000 na Kila mwezi unalipa 10000 tu. Je hapa Dar es Salaam mbona hii huduma hakuna Jamani maana hivi ving'amuzi hakuna lolote sisi wapenzi wa Mpira. Maana DSTV bei iko juu sana kwa sisi watu wa uswazi. Hii imekaaje wadau
 
mijini kuna raha na karaha zake. ktk hili la mpira hata mie ningetamani kuishi mkoani. yaani huku ni full kujiachia, hao dstv kama wangekuwa wajanja basi wangepunguza gharama na wangevuna kweli kweli, si mnakumbuka jinsi GSports walikamata wateja!
 
mnalalamika nn nunueni kingamuzi cha hao jamaa wa ATN na pia ingia dstv kama wapenda mpira lipa hiyo laki na ushee kwa mwezi,starehe garama.
mm hapa nilipo sijawahi kuangalia hizo mechi kwani kwa wenzetu ni garama sana kuanagalia hizo mechi kupitia vingamuzi,
 
Back
Top Bottom