Wanajamii,
Nimekaa na kufikiria kuwa, kuna haja ya Tanzania yetu kubadilisha sheria na katiba ili kutoa nafasi na ufanisi zaidi katika ngazi zote za utawala na sheria.
Mikoa yetu yote iwe sovereign states ziwe na sheria zao na serikali zao. Nathani itasaidia sana kufanya mikoa ijitegemee na kuwezesha ufanisi zaidi.
Nchi yetu ni kubwa mno. Tunahitaji kujipanga upya katika utawala bora, sheria na pia kupunguza ukubwa wa serikali.
Nawakilisha hoja.
Nimekaa na kufikiria kuwa, kuna haja ya Tanzania yetu kubadilisha sheria na katiba ili kutoa nafasi na ufanisi zaidi katika ngazi zote za utawala na sheria.
Mikoa yetu yote iwe sovereign states ziwe na sheria zao na serikali zao. Nathani itasaidia sana kufanya mikoa ijitegemee na kuwezesha ufanisi zaidi.
Nchi yetu ni kubwa mno. Tunahitaji kujipanga upya katika utawala bora, sheria na pia kupunguza ukubwa wa serikali.
Nawakilisha hoja.