Mikoa Tanzania inahitaji kuwa state huru

Usokwe

JF-Expert Member
Mar 4, 2019
533
623
Wanajamii,

Nimekaa na kufikiria kuwa, kuna haja ya Tanzania yetu kubadilisha sheria na katiba ili kutoa nafasi na ufanisi zaidi katika ngazi zote za utawala na sheria.

Mikoa yetu yote iwe sovereign states ziwe na sheria zao na serikali zao. Nathani itasaidia sana kufanya mikoa ijitegemee na kuwezesha ufanisi zaidi.

Nchi yetu ni kubwa mno. Tunahitaji kujipanga upya katika utawala bora, sheria na pia kupunguza ukubwa wa serikali.

Nawakilisha hoja.
 
Basi ungana na Chadema, ndiyo agenda yao kuu.
Wanajamii,

Nimekaa na kufikiria kuwa, kuna haja ya Tanzania yetu kubadilisha sheria na katiba ili kutoa nafasi na ufanisi zaidi katika ngazi zote za utawala na sheria.

Mikoa yetu yote iwe sovereign states ziwe na sheria zao na serikali zao. Nathani itasaidia sana kufanya mikoa ijitegemee na kuwezesha ufanisi zaidi.

Nchi yetu ni kubwa mno. Tunahitaji kujipanga upya katika utawala bora, sheria na pia kupunguza ukubwa wa serikali.

Nawakilisha hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri lkn kwangu mm kidogo wasifanye mikoa yote badala yake state ziwe hata 12 tu.. kwa maana mikoa iunganishwe katika state moja.. mfano.. Tanga, Manyara, Arusha na Moshi iwe state moja.. Morogoro pwani na Dar iwe state moja..
Iringa, Njombe Na mbeya iwe state moja nk nk...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Moshi ni wilaya sio mkoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri lkn kwangu mm kidogo wasifanye mikoa yote badala yake state ziwe hata 12 tu.. kwa maana mikoa iunganishwe katika state moja.. mfano.. Tanga, Manyara, Arusha na Moshi iwe state moja.. Morogoro pwani na Dar iwe state moja..
Iringa, Njombe Na mbeya iwe state moja nk nk...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano mzuri ungeitoa Tanga...
 
Wazo ni zuri, ila linahitaji utulivu kiakili na kulitafakari kwa kina bila kuweka ushabiki wa kisiasa. Kimsingi states za namna unayopendekeza zilikuwepo hata kabla ya ukoloni na ndiyo hizo zilizotumika kufanikisha utawala wakati wa ukoloni wa kijeremani na baadaye waingereza. Zilikuja kuzuiwa kutumika katika utawala wa maeneo husika baada ya mwalimu nyerere kuondoa ukabila na kuunda Taifa la Tanganyika.

Kiutawala Tanzania ni kubwa mno kuweza kuitawala kutoka Dodoma, pamoja na kufanikiwa kwa kiasi fulani baadhi ya mikoa imepiga hatua kubwa kimaendeleo wakati mingine hasa magharibi ya Tanzania imebakia kuwa nyuma licha ya rasilimali za asili ambazo kwa mfumo wa sasa, mgawanyo wowote wa rasilimali za nchi hufanyika Dodoma.

Ushauri wako ni mzuri kwani kila Jimbo au state ingekuwa na mamlaka ya kujiendesha yenyewe na baadhi ya mambo makubwa ya kitaifa yakaamuliwa Dodoma kwa kuwatumia wawakilishi. Mimi ningependekeza kuunda majimbo kumi: Jimbo la kati, Jimbo la kaskazini, Jimbo la ziwa, Jimbo la magharibi, Jimbo la nyanda za juu kusini, Jimbo la kusini, Jimbo mashariki, Jimbo la pwani mashariki Jimbo la Zanzibar na majimbo yanayogusa miji mikubwa hasa Dar es salaam Mwanza na Dodoma.
 
Wazo zuri lkn kwangu mm kidogo wasifanye mikoa yote badala yake state ziwe hata 12 tu.. kwa maana mikoa iunganishwe katika state moja.. mfano.. Tanga, Manyara, Arusha na Moshi iwe state moja.. Morogoro pwani na Dar iwe state moja..
Iringa, Njombe Na mbeya iwe state moja nk nk...

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuhusu jinsi ya kufanya hili nathani inahitaji kura za maoni na mambo mengine. Sijui wewe umefikiaje 12?
 
Wazo ni zuri, ila linahitaji utulivu kiakili na kulitafakari kwa kina bila kuweka ushabiki wa kisiasa. Kimsingi states za namna unayopendekeza zilikuwepo hata kabla ya ukoloni na ndiyo hizo zilizotumika kufanikisha utawala wakati wa ukoloni wa kijeremani na baadaye waingereza. Zilikuja kuzuiwa kutumika katika utawala wa maeneo husika baada ya mwalimu nyerere kuondoa ukabila na kuunda Taifa la Tanganyika.

Kiutawala Tanzania ni kubwa mno kuweza kuitawala kutoka Dodoma, pamoja na kufanikiwa kwa kiasi fulani baadhi ya mikoa imepiga hatua kubwa kimaendeleo wakati mingine hasa magharibi ya Tanzania imebakia kuwa nyuma licha ya rasilimali za asili ambazo kwa mfumo wa sasa, mgawanyo wowote wa rasilimali za nchi hufanyika Dodoma.

Ushauri wako ni mzuri kwani kila Jimbo au state ingekuwa na mamlaka ya kujiendesha yenyewe na baadhi ya mambo makubwa ya kitaifa yakaamuliwa Dodoma kwa kuwatumia wawakilishi. Mimi ningependekeza kuunda majimbo kumi: Jimbo la kati, Jimbo la kaskazini, Jimbo la ziwa, Jimbo la magharibi, Jimbo la nyanda za juu kusini, Jimbo la kusini, Jimbo mashariki, Jimbo la pwani mashariki Jimbo la Zanzibar na majimbo yanayogusa miji mikubwa hasa Dar es salaam Mwanza na Dodoma.

Maoni yako mazuri san mkuu na unaona mbali.
 
Kwa mfano Tanga. Binafsi hakuna sehemu Tanzania nzuri na yenye nafasi kubwa sana kiuchumi kama Tanga.
Tanga kuna ardhi nzuri,bahari lakni corridor ta kaskazini kupitia Tanga ni shida. Mwenyezi Mungu ametupa miundo mbinu yote lakni hakuna mtu anafikiria.
Mfano Mtwara kule kuna bandari ambayo inaweza kusaidia uchumi wa southern corridor.
Kwa kumalizia, Tanga kuna machungwa matamu sana na matunda mengi, lakni bado tunahangaika kuagiza matunda SA. Hakuna mtu anatengeneza hata juice za machungwa kutoka Tanga.
Je waafric tunalaana au tumeridhika na hali zetu?
 
Federal state inafaa lakini wapo watu jambo hili hawalitaki kwa kisingizio cha ku promote ukabila nakupunguza himaya ya ku maintain status quo hawataki mabadiliko ya mfumo wa kiuongozi usije ukavuruga Vanguard Party .Mbona Kenya wamefanikiwa kutawala kupitia majimbo wanaunganishwa na central Govt
 
Wazo zuri lkn kwangu mm kidogo wasifanye mikoa yote badala yake state ziwe hata 12 tu.. kwa maana mikoa iunganishwe katika state moja.. mfano.. Tanga, Manyara, Arusha na Moshi iwe state moja.. Morogoro pwani na Dar iwe state moja..
Iringa, Njombe Na mbeya iwe state moja nk nk...

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuhakikishia hili likifanyika ndani ya miaka kumi tuu tutakuwa dona kantri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu jinsi ya kufanya hili nathani inahitaji kura za maoni na mambo mengine. Sijui wewe umefikiaje 12?
Kikubwa ni kupunguza gharama za serikali.. majimbo yakiwa 12 at least tutakuwa na wawakilishi 12 ambao watakuwa wakuu wa states.. Zanzibar ingejitegemea.. Mikoa iko mingi hivyo kuibalance angalau tupate states pungufu ya 15

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom