Lloyd Munroe
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,294
- 35,621
Nilichokiandika Ni kipana kuliko ulivyofikiri.Ina manq maskini wote hawana akili?
Rudia Tena kusoma.. HaKuna neno Akili Kuna mbungi ( Hekima )......Hekima za namna gani ? Hapo jipambanue uone unapungukiwa Nini ? ... Na mwisho inaweza kufikia ulikowahi kutaja ( Akili ) endapo Miaka nenda Rudi utasumbuka na Jambo Moja ( Umezidiwa akili ).
#wazee wa Miji Mshana Jr