RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,524
Mkuu unataka maendeleo ya taifa yajadiliwe kwenye jukwaa hili kweli?adhani jukwaa specila la mambo hayo lipo.
Mi nataka kushangaa huyu mkuu Chamkoroma anataka kupasuka kichwa na jukwaa hili!! hapa hakuna kuwa serious, ni mwendo wa kucheka na vitu kama hivi.