Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,746
Mwenye kujua Ili naomba kujuzwa maana mikoa mingi iliyopo mipakani mwa nchi zinazozunguka ni kama zimewekwa kwa ajili ya kuombea uchaguzi.
Kimaendeleo ni tatizo labda nguvu za wenyewe au taasisi za dini kupeleka maendeleo ndio maana askofu Bagonza ana wauliza Ili.
Tanga, Kagera, Mtwara, Ruvuma, Mara, Mpanda, Musoma, Moshi, Arusha, Songwe, Njombe na Kigoma.
Kiukweli zimewekwa pending sana kimkakati na CCM mpaka Israel na Gaza
Kimaendeleo ni tatizo labda nguvu za wenyewe au taasisi za dini kupeleka maendeleo ndio maana askofu Bagonza ana wauliza Ili.
Tanga, Kagera, Mtwara, Ruvuma, Mara, Mpanda, Musoma, Moshi, Arusha, Songwe, Njombe na Kigoma.
Kiukweli zimewekwa pending sana kimkakati na CCM mpaka Israel na Gaza