permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,333
- 15,047
Maana ya rijali
1. Mwanamume mwenye nguvu za kiume nguvu za kiume inaweza kuwa ni kati ya mambo makuu mawili ya fuatayo
1.Uwezo wa kumfikisha mwanamke kileleni (kufurahi)
2.Uwezo wa kuzaa au kutengeniza mtoto.
Hizo ni sifa kuu za rijali sasa kwa utafiti fulani niliofanya nimegundua kuwa mikoa ifuatayo inaongoza kwa kuwa na wanaume rijali na hata wanawake wa kaskazini wamekiri hivyo.
1.MBEYA-unaongoza
2.RUKWA
3.MWANZA
4.MUSOMA (mara)
5.SHINYANGA
6.IRINGA
7.RUVUMA
8.NJOMBE
Mikoa mingine inafuata hapo
Mkuu umejuaje yote hayo?acha uwakala wa kabang!