Mikoa ifuatayo inatoa marijali

Mikoa ifuatayo inatoa marijali

mimi ni mwanaume: nimefanya iyo tafiti kwa miaka kazaa ndio maana nikaona niulete huu uzi ili wengi wajua: hasa wavivu wa kutafuta takwimu

matokeo ya utafiti wako yako kwenye jarida gani ili tujisomee mkuu?
 
acha utani.. Soma kichwa cha habari ndo pointi ilipo

its very empty.........unless unataka kushauri watu wafanye nini:


  1. wasiende mikoa hiyo
  2. waolewe mikoa hiyo
  3. wazae na mikoa hiyo
  4. serikali iingilie kati

[h=2]
icon1.png
re: Mikoa ifuatayo inatoa marijali[/h]
 
Maana ya rijali
1. Mwanamume mwenye nguvu za kiume nguvu za kiume inaweza kuwa ni kati ya mambo makuu mawili ya fuatayo
1.Uwezo wa kumfikisha mwanamke kileleni (kufurahi)
2.Uwezo wa kuzaa au kutengeniza mtoto.

Hizo ni sifa kuu za rijali sasa kwa utafiti fulani niliofanya nimegundua kuwa mikoa ifuatayo inaongoza kwa kuwa na wanaume rijali na hata wanawake wa kaskazini wamekiri hivyo.

1.MBEYA-unaongoza

2.RUKWA

3.MWANZA

4.MUSOMA (mara)

5.SHINYANGA

6.IRINGA

7.RUVUMA

8.NJOMBE
Mikoa mingine inafuata hapo


Mkuu leo kuwa mpole tu kwa karaha utakazozipata, maana umewashindwa kuwaheshimu kaka zetu wa Mikoa mingine, na ni very possible we mwenyewe ukawa unatokea kwetu Tanga, Bandugu kaka zangu wa mikoa mingine asiwashughulishe huyu labda anajitengenezea jina kwa nguvu
 
its very empty.........unless unataka kushauri watu wafanye nini:


  1. wasiende mikoa hiyo
  2. waolewe mikoa hiyo
  3. wazae na mikoa hiyo
  4. serikali iingilie kati

sio kila kitu kinahitaji hayo unayo yasema... Mfano mtu akijua mwezini kuna chemichemi sio lazima aende kujua tu inatosha
 
Zamiluni Zamiluni;10606374]Basi tuwende UKEREWE ?

Kwani ukerewe ipo mkoa gani? Au ni mkoa! Naona geography ni tatizo.
 
Mkuu leo kuwa mpole tu kwa karaha utakazozipata, maana umewashindwa kuwaheshimu kaka zetu wa Mikoa mingine, na ni very possible we mwenyewe ukawa unatokea kwetu Tanga, Bandugu kaka zangu wa mikoa mingine asiwashughulishe huyu labda anajitengenezea jina kwa nguvu

1.sitokei tanga
2.sijitengenezei jina hata ukinijua haita saidia
3,nina waheshimu kaka zenu wa mikoa yote
 
mkuu hilo ni swali ila hujajibu ukajichekesha hebu jibu kwanza

mikoa iliyobaki sio mchelemchele
ila haitoi marijali wengi kama hii mikoa ndo pointi yangu ilipo..
 
Hongera kwakukamilisha research yako kwakutembea na takribani Me wa mikoa yote na kufanikiwa kuridhishwa na wa Mikoa 8 tu!

Swali ninalo jiuliza ni je hiyo papuchi yako ipo ktk hali gani kwasasa?

Pili,je unawatoto wangapi baada ya kukamilisha utafiti wako?

Tatu,umeshaua viumbe vingapi kwasasa?
Maana utafiti wako ili ukamilike ni lazima ujiridhishe kwa kushika mimba na kufikia climax point.

Acha matusi wewe. Utamwambiaje mwanaume mwenzako utumbo huo? Be a great thinker!
 
sio wakiamini... Wanatakiwa kuamini na its true

Wewe ni KE ma ME?
kama ME je unao huo urijali?
Kama ni KE je mwenzio ano huo urijali?
je anatoka katika mikoa alosema?

BTW uanaume ni shida sana especially lijapo swla la urijali.
Hya kazaneni kuutafuta if not kuuongeza
 
Back
Top Bottom