Huu mwaka huuUmesahau Kagera, Songwe , Rukwa na Katavi pamoja na Iringa.
watu wa kagera tangu Magufuli alivyowatukana kwenye tetemeko na kukataa kupokea maombi ya mama Kabendera hadi akafariki mama wa watu tena jamaa akamkatalia mtoto wake kwenda kumzika mama yake, hawana hamu na Magufuli.
Kuna Ruvuma na njombe Pia mkuu.