Uchaguzi 2020 Mikoa ambayo panapo majaliwa, Lissu ataongoza kwa kupata kura nyingi

Umesahau Kagera, Songwe , Rukwa na Katavi pamoja na Iringa.

watu wa kagera tangu Magufuli alivyowatukana kwenye tetemeko na kukataa kupokea maombi ya mama Kabendera hadi akafariki mama wa watu tena jamaa akamkatalia mtoto wake kwenda kumzika mama yake, hawana hamu na Magufuli.

Kuna Ruvuma na njombe Pia mkuu.
Huu mwaka huu
 
Sijui mnatumia vigezo gani kusema Lisu atapata kura nyingi Arusha kuliko JPM . Mimi naishi Arusha napenda kukuhakikishia kwamba JPM anakubalika sana kwenye hii kada ya chini na kwa mara ya kwanza CCM watavuna kura nyingi kupitia JPM hasa wakina mama wajasiria mali
 
Wapenda haki bado wapo.
Hapa tujue shida ipo kwa watawala na chama chao kijani. Upande huu wa pili lazima kujitambua kwani CCM wana ile tabia ya timu ushindi. Kura zinapigwa vizuri wao waTume wanabeba kwenda hesabu. Huku nyuma wakishaweka namba zao tayari.
Kipindi hiku kura zihesabiwe hapo hapo mezani saa mbili wakimaliza kupiga hakuna kutoa box la kura.
Jicho kwa jicho ndio ufumbuzi mbadala.
 
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1. Dar-es-Salaam (anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2. Arusha(75-80%)
3. Singida(65-75%)
4. Kilimanjaro(70-80%)
5. Mwanza(55-65%)
6. Mbeya(75-80)
7. Mara(65-75%)

Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1. Dodoma(40-50%)
2. Geita/Chato(40-45)

Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.

All in all, Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.

Note: Membe akiimuunga mkono Lissu ,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.

Huu ni utabiri wangu, tusubiri wakati ufike.

Vigezo:
1. Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.

2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa Watanzania wengi hasa vijana.

3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Ngoja waje
 
Wee salary mbona umesahau kule alipowaambia teteko hakuleta yeye!
Hata Geita pia kuna Kipindi alisimana barabarani wananchi wakamwambia baba njaa nae akawajibu mlitaka mimi nije kuwapikia?
 
umesahau unguja na Pemba kwa Maalim, Kigoma kwa Zitto mpaka Tabora (ngome ya CUF ya zamani) , Ukija Mkoa wa Pwani wenye MKIRU kote huko Magufuli ni unpopular, then Njoo Singida nyumbani kwa Lissu mwenyewe ushuke hadi Kondoa then ukijumlisha na mikoa uliyoitaja, Magufuli anachapika asubuhi na mapema tu
 
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1. Dar-es-Salaam (anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2. Arusha(75-80%)
3. Singida(65-75%)
4. Kilimanjaro(70-80%)
5. Mwanza(55-65%)
6. Mbeya(75-80)
7. Mara(65-75%)

Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1. Dodoma(40-50%)
2. Geita/Chato(40-45)

Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.

All in all, Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.

Note: Membe akiimuunga mkono Lissu ,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.

Huu ni utabiri wangu, tusubiri wakati ufike.

Vigezo:
1. Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.

2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa Watanzania wengi hasa vijana.

3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.





Ondoa kabisa Singida hapo, pamoja na kwao hataambulia kitu mzee.

Subiri utaona.
 
.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.

Hili jambo la Maendeleo ya Vitu vs Maendeleo ya Watu wanaLumumba linawapa taaabu sana wameshindwa kabisa kujitetea.

Mbaya zaidi CCM Mpya walilipuuzia, watu walipokuwa wanaelezea umuhimu wa sera hii inayoeleweka kwa urahisi Maendeleo ya Watu na mguso wake kwa waTanzania wote bila kujali walipo iwe vijijini ndani ndani, miji midogo na mikubwa kona zote za nchi.
 
Hili jambo la Maendeleo ya Vitu vs Maendeleo ya Watu wanaLumumba linawapa taaabu sana wameshindwa kabisa kujitetea.

Mbaya zaidi CCM Mpya walilipuuzia, watu walipokuwa wanaelezea umuhimu wa sera hii inayoeleweka kwa urahisi Maendeleo ya Watu na mguso wake kwa waTanzania wote bila kujali walipo iwe vijijini ndani ndani, miji midogo na mikubwa kona zote za nchi.
Maendeleo ni kwa wote sio kwamba kusiko na wanachama wa CCM maji ná umeme havifiki. Siasa za CCM ni za kishamba sana eti msipochagua CCM maendeleo hatuleti.
 
Tabu ninyi wapinzani.. ni washamba na wakuja na ...... munafikiri muntu anakaa tu na kujiandikia.. kama haya!!!.. Omba mufundishwe haya munasomaga.. yanatokeaje.. mujue sio kuona umati wa watu.. ndiwo munafikiri mutashinda.. kwa awamu hii na mafanikio mengi.. pokea pole kwa niaba ya wenzako na viongozi wenu.. munatutia aibu Tanzanians kwa kweli..
 
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1. Dar-es-Salaam (anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2. Arusha(75-80%)
3. Singida(65-75%)
4. Kilimanjaro(70-80%)
5. Mwanza(55-65%)
6. Mbeya(75-80)
7. Mara(65-75%)

Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1. Dodoma(40-50%)
2. Geita/Chato(40-45)

Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.

All in all, Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.

Note: Membe akiimuunga mkono Lissu ,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.

Huu ni utabiri wangu, tusubiri wakati ufike.

Vigezo:
1. Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.

2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa Watanzania wengi hasa vijana.

3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Aise
 
Back
Top Bottom