wakubeti
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 560
- 853
Wanajitoa ufahamu tu lakin tunawajua vzur.we jamaa wew. Ngoja waje
Wanajitoa ufahamu tu lakin tunawajua vzur.we jamaa wew. Ngoja waje
Kabisa,Umesahau chuttle
Kwanini Hiyo unaniitia Nani? Machoko au wachawi?Kwa mujibu wa sensa ya mwaka gani au hizo data zipo NBS ?
Jiandae kwa lolote ngoja waje wenye mkoa wao
Taabu tupu dada yangu.Kuna mikoa ambayo iliingia uchumi wa kati hata kabla ya 2015.. na mingine toka enzi za mwalimu.
Mikoa hiyo ji kama ifuatayo
1. Kilimanjaro
2. Mbeya
3. Njombe
4. Dar es salaam
5. Iringa (Mufindi)
6. Kagera..
Wananchi wa mikoa hii wana maisha mazuri sana, chakula kwao sio issue..
Anayebisha ajifanye anajikuna.View attachment 1509151
Huyo ni mpuuz,atakuwa katokea mikoa maskini anaona wivu kilimanjarowe jamaa wew. Ngoja waje
Huyo ni mpuuz,atakuwa katokea mikoa maskini anaona wivu kilimanjarowe jamaa wew. Ngoja waje
Kuna mikoa ambayo iliingia uchumi wa kati hata kabla ya 2015.. na mingine toka enzi za mwalimu.
Mikoa hiyo ji kama ifuatayo
1. Kilimanjaro
2. Mbeya
3. Njombe
4. Dar es salaam
5. Iringa (Mufindi)
6. Kagera..
Wananchi wa mikoa hii wana maisha mazuri sana, chakula kwao sio issue..
Anayebisha ajifanye anajikuna.View attachment 1509151