Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Kuna mikoa ambayo iliingia uchumi wa kati hata kabla ya 2015.. na mingine toka enzi za mwalimu.
Mikoa hiyo ji kama ifuatayo
1. Kilimanjaro
2. Mbeya
3. Njombe
4. Dar es salaam
5. Iringa (Mufindi)
6. Kagera..
Wananchi wa mikoa hii wana maisha mazuri sana, chakula kwao sio issue..
Anayebisha ajifanye anajikuna.
Mikoa hiyo ji kama ifuatayo
1. Kilimanjaro
2. Mbeya
3. Njombe
4. Dar es salaam
5. Iringa (Mufindi)
6. Kagera..
Wananchi wa mikoa hii wana maisha mazuri sana, chakula kwao sio issue..
Anayebisha ajifanye anajikuna.