Unataka umuone alivyokuwa mngese?:confused2:
nataka picha tafadhali
Hakuna kitu mkuu,atakuwa ameshalegezwa!!Huyu demu ni noma, ukimuudhi lazima akuchakazechakaze
Hii sio habari.... definite!Naona Habari hii ipo jf peke yake, au kuna chanzo kingine ! Tuwekeeni hapa tujiridhishe la sivyo huu ni uongo usio na sababu.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Alipobadili dini kuwa muislamu,waislamu wengi walifurahi sana.Sasa amejibalisha kuwa mwanamke,je hili waislamu mnaliongeleaje?
Naona Habari hii ipo jf peke yake, au kuna chanzo kingine ! Tuwekeeni hapa tujiridhishe la sivyo huu ni uongo usio na sababu.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2