Kibungo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Namshukuru Mungu sana kusoma na umri mdogo .La kwanza mpaka la saba nilikuwa sielewi chochote kuhusu mapenzi.Form 1 mpaka 3 nilikua bado pia na nilikuwa na bahati mbaya .Sikumbuki kama kuna binti yoyote alishawahi kunipenda mimi.Kidato cha nne ndio nilianza kupenda .Nilimpenda binti mmoja kutoka ndani ya moyo wangu.Wana walishaniletea mpaka room nipige dudu nikashindwa.Huyu nilikutana naye tena chuo akaonesha interest ila kwa mali nilizokutana nazo nilikuwa namuona kibungo tu.Nimechoka ila chuo ndio nilipata mwanamke alienipenda tuna mtoto mmoja.Kwa sasa nimekuwa kamalaya na kalevi namsumbua tu mtoto wa watu.Mungu nisaidie.
Utadhani nilikua marking centre kwamba blue/ Black pen π€ π€£!Pen nyenkundu kwa msisitizo zaidi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii.Utadhani nilikua marking centre kwamba blue/ Black pen [emoji1783][emoji1787]!
Mada zako pendwa m/kiti πππDah, ndugu mjumbe huwa unanifumania sekta mbovu tu.. Kwani umenitegeshea alarm ama ππ
Udugu yule jamaa alinirudia kuniambia ananipenda baadae uko na kizawadi cha simu kutoka Japan πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas.
Basi ndugu mjumbe mie nahamia kwenye siasa huko na teknolojia. πMada zako pendwa m/kiti πππ
Jamaa alikuwa anazingua, yani nikionana naye ananipongeza kabisa na kunikanya juu πππAnamchomea utambi mwenzie kumbe nae anakupenda hahaa ππ!
Mapenzi ya utoto vituko sana!
Baki tu siasani utapata ugonjwa wa moyo πππBasi ndugu mjumbe mie nahamia kwenye siasa huko na teknolojia. π
Alikua anang'ata na kupuliza π€ π€ π€Jamaa alikuwa anazingua, yani nikionana naye ananipongeza kabisa na kunikanya juu πππ
Yaani ndio ulianza kunjunjwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikiwa O level, nlikua na Ba tamuu, ila shule tofauti.
Tulikua tuna meet wakat wa likizo, sasa tulkua tunasoma tuition, tukitoka tunazurura town, tunapita cafe na bakery, ila kujunjana nilikua muoga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivyofika Advance ndo nilifaidii mahusianooo, nisiseme sana.
Wenye thread zenu pendwa mmeingia,kwahiyo hutaki kusema walikukula ukiwa mdogo? π€£π€£Nikiwa O level, nlikua na Ba tamuu, ila shule tofauti.
Tulikua tuna meet wakat wa likizo, sasa tulkua tunasoma tuition, tukitoka tunazurura town, tunapita cafe na bakery, ila kujunjana nilikua muoga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivyofika Advance ndo nilifaidii mahusianooo, nisiseme sana.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nimeedit nimeweka yetu sasa [emoji23]
πππ HatareeeeAlikua anang'ata na kupuliza π€ π€ π€
Basi niende jukwaa la intelligence na internationalBaki tu siasani utapata ugonjwa wa moyo πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinambieee, uduguu mbna pambeeee.Udugu yule jamaa alinirudia kuniambia ananipenda baadae uko na kizawadi cha simu kutoka Japan [emoji23][emoji23][emoji23]
Kanikuta lamomy, nimekuwa Lamomy kweli!!
Alikuwa anapenda kuniita Beyonce na me namuita Jigga na lile body lake na ameenda hewani bas tafrani alikuwa anacheza basketball. Siku tunakutana na wale rafiki zake wakawa wanamwambia βkwahiyo mwanetu kipindi kile ulikuwa unatu snitch?β [emoji23][emoji23][emoji23]
Baki huku ndio kuzuri m/kiti πππBasi niende jukwaa la intelligence na international
Amesema mahusiano ya shule, na mie ndo nimeeleza hivyo.Wenye thread zenu pendwa mmeingia,kwahiyo hutaki kusema walikukula ukiwa mdogo? [emoji1787][emoji1787]
Ngoja nikalime,mnatudanganya sana[emoji1787]
Ndugu mjumbe siwezi kukupinga, kura yako ni ya VETOBaki huku ndio kuzuri m/kiti πππ