Kendrick Rama
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 409
- 455
pole sana aseeDaah acha ibaki moyoni mwangu mkuu kwani nakumbuka niliwahi kumsimulia jamaa fulani aisee nilikumbwa na matukio ya ajabu ajabu, pia kuna dogo ambaye yeye alivyoondoka tuu ktk yale mazingira ya nyumba ile alitutumia sms iliyokua ikisema" hapo msiishi kiboya huyo mzee mchawi atawatoa musukule lakini tulichukulia kawaida.
Ila huo muziki uliotukuka si mchezo halafu dzaini kama alitupumbaza yaani tusifikiri chochote kile, mkuu ile oysterbay na masaki wanaoishi kule si watu wa mchezo mchezo wanafuga misukule si kitoto.