Mi bishoo tu
Senior Member
- Jun 3, 2023
- 122
- 295
Musoma mjini siyo pale embassy Kwa shangazi kweli?Nina vituko kadhaa maana nimetembea kidogo hii nchi.
1. Nilikuta kitanda cha zege kama kaburi Tunduru, nikakataa kulala
2. Musoma mjini nililala guest imejengwe kama U milango inatazamana nimelala usiku kuna mwanamke alikuwa anapiga kelele hadi tukaamka karibia vyumba vyote isipokuwa cha huyo mwanamke
3. Korogwe kuna msela tulikuwa nae alichukua mwanamke wakati wanaingia hatukumuona sasa wameanza mambo usiku kelele balaa tukajua jamaa kachukua katoto anakatesa asubuhi tukawahi kuamka tushuhudie huyo binti, alipomtoa lilikuwa boge la dude la mjimama tukabaki kushangaa
4. Musoma vijijini nilishawahi letewa taulo usiku wa saa 8 huku narembuliwa nikamwambia sihitaji taulo kwa sababu kati ya kitu ambacho siwezi tumia ni taulo la guest.
5. Nilishawahi chukua mzigo pale tabora club iko opp na chuo cha uhazili yule binti akamwaga kojo moja matata sana kitandani ilibidi asubuhi nimtoe mama usafi ili afanye extra usafi room niliyokuwemo.
6. Mambali Nzega nililala guest nikauliza pa kuoga nika ambiwa unaweza oga hapo nje au bafu liko kule kwenda kucheck bafu ni chafu nikarudi kulala asubuhi tukaondoka na mwanangu suka hadi igunga ndio tukaoga lodge tuliyofikia tulikuwa na kazi pale.
7. Manyoni nililala kijijini bafu ni passport size nilikuwa naoga lakini kuanzia tumbo kuja juu naonekana
Mkuu bukenye iliyo mtaa wa posta Bunda?Umenikumbusha BUKENYE LODGE kitanda cha janvi la zege,[emoji1787][emoji1787] nilipenda
exaliothyuda
geita
Hukutafuta mmoja nawe umtoe maji through katerero?Imebidi nimfuate mhudumu asbh hii nikamuuliza akabaki anacheka tu.
Ninapoondok nikamuohoji dereva boda akacheka then akanielekeza hbr za katerero.
Kwa asili wanawake wa bukoba pia wana maji changanya na katerr ndo hivo tena.
Sasa nina amani, ngoja nikapande zangu bus niende Omulushaka then Isingilo baada ya hapo niingie Mulongo.
Si unajua wanawake wa huko kwa katereroAisee, nimefikia lodge moja hapa bukoba naona wemeniwekea kitambaa cha lether cheusi chini ya shuka, huu ni uchawi ni nn.
Nimeona nilale zangu chini tu sitaki ushirikina mm
Masikio yako hayalalikuna guest nishawahi ingia nilisikia kelele tu muda mwingi wanazagamuana hadi saa 9 ikaacha ikaanza tena 11 niliwahi sana kwenda stand ile siku na nililala sana kwenye basi sitasahau
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukajishushaMusoma mara,mwaka 2008,siwezi kusahau ile siku tarehe na mwez nimesahau ila siwezi kusahau,nimefika nikitokea Mwanza nilale asubuhi niende zangu dar kupitia sirari kipindi hicho njia ukiwa bukoba unapitia kampala kwa basi,ukiwa mwanza unapitia sirari,daaah nikachukua lodge,hapo hapo kulikuwa na bar,nikatoka enzi hizo balimi tamu balaa nikaanza kupiga balimi zangu ghafla akaja mshkaj akawa anamzingua muhudumu ambae anahusika na upande wa lodge na kaunta ya vinywa daaaah baada ya muda jamaa kaanguka kafa pale pale,cha kushangaza hakuna mlevi wala muhudumu aliostuka wakawa wanasema tu kiburi kimemponza,polisi wakaja wakachukua maiti bila kusema chochote na sisi tuliopo pale,palepale nikapata stor kuwa aliwekewa sumu ya mamba,usiku nimerudi chumbani maji yakawa hayatoki nikatoka kumgongea yule dada muhudumu,kwanza hakuitika ila aliuza nan wewe nikasema mm mpangaji wa chumba flan akauliza unataka nini,nikamwambia maji hakuna,akaniuliza kwahiyo[emoji3] daah nilipokumbuka tukio la yule jamaa aliokufa,nikamjibu hakuna kitu dada nimeuliza tu labda yatarudi na mabomba yapo wazi hivyo yatamwagika[emoji3][emoji16]
DuuuhMiaka miwili nilienda vwawa mbozi kuna guest house ipo karibu na shell ya ilasi inaitwa mkulima guest house,chumba chenye choo,tv,maji ya moto ya heater,kitanda 6x6,wali maharage bure,nguo zisizidi 2 unafuliwa na viatu unabrashiwa kwa sh 10,000/=!!kwa kweli nilistaajabu na wengi hawaamini nikiwahidithia!
Shauri yakoMorogoro nimekutana na Mwalimu tukawa tunaangalia promo ya heineken, nikamnunulia bucket 🪣 mbili mara kaanza kukata mauno na yeye kama wacheza shoo, tumefika chumbani katapikia mashuka yote, nikabeba kibegi changu nikasepa, sijui nini kiliendelea,uzuri huwa naandika majina na no za simu za uongo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naona customer care unazipa promo guest zako za Ruangwa kwa kutumia ID mbili mbili. Moja unajiuliza swali, nyingine unajijibu.
Daah hii KaliNilikuwa na hamu sana na papuchi nilipofika tu nikavua nguo sasa napiga simu demu wangu yuko mbali sana nikasema ngoja nijilaze kitandani usingizi ukanipitia. Kuja kushtuka nakuta niko uchi bado na mlango uko wazi kumbe sikulock aisee.
Nawazaga tu hivi hakuna aliyenipiga picha kweli, siku nikikuta picha zangu huko mtandaoni nimelele huku dudu limesimama sitoshangaa [emoji51]
Sijapata.Hukutafuta mmoja nawe umtoe maji through katerero?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]Kuna lodge mtwara pale nililala aisee noma sana, yaani kila ukimwagiza muhudumu akuletee kitu chumbani lazima abebe condom.
kuna siku sikuwa na mishemishe so siku nzima nipo pale lodge, asbh nikamwita muhudumu wa chai aje achukue vyombo vya chakula jion ile anaingia tu nikamshika mkono kuashiria mzagamuo naona akafungua ndomu haraka haraka akala kimoja akaondoka..., Mchana wa counter nimemwomba aniletee maji nashangaa naye akaja na ndomu naye akala kichapo, aliyeingia shift usiku naye akaja kunilaza, nilipita tu pale nikamwambia yule dada alokuwepo ametoka? Akasema ndiyo lakin yeye yupo, nikamchana tu njoo mara moja, tangulia naja, mara huyu hapa na condom..
Siwatajii ni logde gani
Kuna lodge mtwara pale nililala aisee noma sana, yaani kila ukimwagiza muhudumu akuletee kitu chumbani lazima abebe condom.
kuna siku sikuwa na mishemishe so siku nzima nipo pale lodge, asbh nikamwita muhudumu wa chai aje achukue vyombo vya chakula jion ile anaingia tu nikamshika mkono kuashiria mzagamuo naona akafungua ndomu haraka haraka akala kimoja akaondoka..., Mchana wa counter nimemwomba aniletee maji nashangaa naye akaja na ndomu naye akala kichapo, aliyeingia shift usiku naye akaja kunilaza, nilipita tu pale nikamwambia yule dada alokuwepo ametoka? Akasema ndiyo lakin yeye yupo, nikamchana tu njoo mara moja, tangulia naja, mara huyu hapa na condom..
Siwatajii ni logde gani
Hata mm nimestaajabu mkuu [emoji19]Miaka miwili nilienda vwawa mbozi kuna guest house ipo karibu na shell ya ilasi inaitwa mkulima guest house,chumba chenye choo,tv,maji ya moto ya heater,kitanda 6x6,wali maharage bure,nguo zisizidi 2 unafuliwa na viatu unabrashiwa kwa sh 10,000/=!!kwa kweli nilistaajabu na wengi hawaamini nikiwahidithia!
[emoji23][emoji23][emoji23] Niko mtwara tupeane location japo pmKuna lodge mtwara pale nililala aisee noma sana, yaani kila ukimwagiza muhudumu akuletee kitu chumbani lazima abebe condom.
kuna siku sikuwa na mishemishe so siku nzima nipo pale lodge, asbh nikamwita muhudumu wa chai aje achukue vyombo vya chakula jion ile anaingia tu nikamshika mkono kuashiria mzagamuo naona akafungua ndomu haraka haraka akala kimoja akaondoka..., Mchana wa counter nimemwomba aniletee maji nashangaa naye akaja na ndomu naye akala kichapo, aliyeingia shift usiku naye akaja kunilaza, nilipita tu pale nikamwambia yule dada alokuwepo ametoka? Akasema ndiyo lakin yeye yupo, nikamchana tu njoo mara moja, tangulia naja, mara huyu hapa na condom..
Siwatajii ni logde gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi tulishangaana[emoji23][emoji23] hata wao walikushangaa
Siwatajii ni logde gani
Ntakuwa naharibu biashara ya watu mkuu, lodge nyingi wapo hivyo lakin, sawa komando wa Yanga [emoji23][emoji23]Usingeandika sasa