Mikasa/vituko vya lodge

Alitoka kwenye joka akahamia kwenye joka lingine!?
 
Dah,,, Ni htr Sana mkuu !!!
 
Women dont like good men.
 
Ile ya opp Selian Arusha nilishawahi kuilala. Ila Mimi sijawahi kuchukua Malaya Arusha, wote nawaona wewe na matapeli.
 
Ulilala kwenye zizi[emoji1787][emoji1787]
 
[emoji870][emoji870]
 
Ulkkimbia.
 
Unakosea jina lako kwa makusudi tu mkuu
Kwa mfano Mimi naitwa Alex naongezea Alexier kila kona hunidaki hapo
 
Hii dunia ..ukisema hapa sasa nimemaliza doh. Vinaibukaa vipyaaa sasa hii ni aina gani sijui ya starehe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…