Wadau na wapenda mabadiliko....natangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la UKONGA kwa tiketi ya CHADEMA.
Michango ya mawazo, ushauri na ki-mikakati inakaribisha!
Sihitaji michango ya pesa kwa sasa....
Asanteni sana...
Mungu ibariki JF, CHADEMA & Tanzania