GE2010 Mikakati ya ubunge oktoba 2010

GE2010 Mikakati ya ubunge oktoba 2010

saitama_kein

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
981
Reaction score
100
Wadau na wapenda mabadiliko....natangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la UKONGA kwa tiketi ya CHADEMA.
Michango ya mawazo, ushauri na ki-mikakati inakaribisha!
Sihitaji michango ya pesa kwa sasa....
Asanteni sana...
Mungu ibariki JF, CHADEMA & Tanzania
 
Wadau na wapenda mabadiliko....natangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la UKONGA kwa tiketi ya CHADEMA.
Michango ya mawazo, ushauri na ki-mikakati inakaribisha!
Sihitaji michango ya pesa kwa sasa....
Asanteni sana...
Mungu ibariki JF, CHADEMA & Tanzania

CHADEMA wameisha kupitisha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom