Mikakati ya kulinda heshima ya mgombea urais wa CHADEMA yaendelea, sasa ni kuhusu muda wa kuzungumza

Yule mzee yuko mahututi jamani tuambizane ukweli. yule ni mgonjwa kupita vile watu wanavyofikiria. utachaguaje maiti kuwa raisi!!!!
 
Kuwa mbunifu na kuwa tayari kukubali ukweli Lowasa anastahili kuwa rais Wa nchi hii... Hoja ya kipuuzi ya dk 10 si sahihi maana kampeni hazijaanza subiri kampeni zikianza uone moto wake na ukasimulie makada wenzio.....
 
Hivi kutambulishwa lazima uongee sana? Au mpaka uahidi laptop za kutumia mafuta ya taa?
Kampeni bado wakati, moto wa nini?
 
Kiuhalisia kila binadamu ni mgonjwa ama mgonjwa mtarajiwa.Hao unaowaona wazima ndo wagonjwa mahututi.
 
chadema ( ukawa ) mnasifa za kijinga. kwanini umnampa dk 10 zote! kwanini msimpe dk chache kama 2 au 1. au anapiga na kampeni kabisa.
Tafadhali ukawa msimchoshe mgombe wetu, yeye kwasasa anatakiwa kuwasalimia wananchi na wala asionge chochote.
 
mm nimemfuatilia sana ktk mikutano mbalimbali ni kwel kabisa unachosema mtoa post..maana kuongea kwake taaaabu kwel hata hizo dakika 10 nyingi kwake,
 
Kama urais unapimwa kwa maneno mengi (kumiliki jukwaa) basi jk angekuwa the best na mkapa angekuwa wa mwisho ktk waliowahi kuwa marais wa tz.
 
Mlibwabwaja maneno hapa mzee akaamua kukimbia marathoni kupinga mauwaji ya albino eti leo mwezi mmoja umepita mnasema hawezi kusimama, ndoroooobo.
 
waongeaji mara nyingi ni dhaif ktk utendaji & vice versa
 
Wadau amani iwe kwenu,

Leo nikiwa ndani ya viunga vya chadema maeneo ya ufipa napenyezewa mipango mbalimabli ambayo inaendelea kupangwa ili kuhakikisha kuwa kampeni zinakwenda vizuri huku heshima ya mgombea wao Edward Lowasa inalindwa na kuficha baadhi ya mapungufu yake yasiweze kubainika hatimaye yakaathiri kuaminika kwake kwa jamii.

Miongoni mwa mipango inayopangwa ni kuhakikishwa kuwa Lowasa anazungumza mda usiopungua dk kumi tu pale atakapokuwepo kwenye mikutano ya kuomba kura katika maeneo mbali mbali.

Nilitaka kujua kwanini chadema wamepanga mgombea wao azungumze dk kumi mda ambao unaonekana ni mchache sana kwa mgombea urais kuweza kujinadi na kueleza vizuri sela na mipango yake kwa watanzania ambao kwa kiasi kikubwa watakuwa wanataka kusikia kutoka kwake atawafanyia nini watanzania kwa kutumia njia zipi.

Mtu wangu ameniambia kuwa chadema wamegundua kuwa mgombea wao afya yake siyo nzuri hivyo endapo atatumia mda mwingi kuzungumza hata weza hivyo upo uwezekano wa mgombea wao kuanguka au kushindwa kabisa kusimama kwa mda unaozidi dakika kumi.

Kwa mantiki hii naona kasolo kubwa kwa mgombea wa chadema na ukawa kwa ujumla kama kweli afya yake ndiyo iko hivyo,nitoe angalizo kwa watanzania kuwa Loawasa hafai kuwa kiongozi kama afya yake haimwezeshi kusimama zaidi hata ya dk kumi.

Kumbuka haya mambo matatu:

1. Acha ishu ya ugonjwa ibaki kuwa hivyo kwa sbb kila mtu anaumwa, hata wewe unaumwa tu vinginevyo ungekuwa mzima wa afya, akili na kimwili usingekuwa umejificha nyuma ya keyboard ya computer yako unapost upuuzi kama huu. Mambo ya afya ya mtu ayajua Mungu mweyewe sawa na kifo tu kwani hakuna anayejua ni lini ataondoka duniani. Na hiyo haina guarantee kwamba una status gani na ndiyo maana mtoto wa miaka 20 anaweza kufa leo akamwacha mzee wa miaka 100 anadunda, mtu mzima wa afya akafa kwa ajali au chochote na kumwacha mgonjwa wa UKIMWI wa miaka 30!!

Katika hili acha Mungu aitwe Mungu tu na wewe ubaki kuwa gsu kwa sbb njia za Mungu siku zote hazichunguziki, mawazo ya Mungu si kama ya sisi binadamu!!

2. Kuhusu kuzungumza kwa muda mfupi. Kumbuka kuwa ziara anazofanya EL ni za kujitambulisha tu na si za kuongea saaaana kama vile kampeni zimeanza. Hebu subiri kidogo kampeni ziende halafu uje upime.

By the way; hata kama anatumia muda mfupi kusimama na kuzungumza; Ni vipi kwani unakuwa humwelewi, haeleweki au? What exactly is your point here?

3. Actions speak louder than words, kumbuka. Na ukiwa unatafuta nafasi kubwa kama hiyo ya kuwa kiongozi mkuu wa nchi, don't hold too much words instead we expect words which are documented and put into actions!

Mchunguze mkwere vizuri, maneno mengi ila vitendo ni almost zero na ndiyo maana wakati mwingine watu wanamwona kama msanii flani hivi!

Mwisho kipimo cha kiongozi bora si cha kusimama na kuongea kwa muda mrefu na kukaririshwa takwimu bandia zisizobeba uhalisia kama Pombe Magufuli, bali ni how much he/she delivers!!
 
Mbona dakika kumi ni nyingi mno. Tatu zinatosha. Tumeshamkubali, hana porojo ni MTENDAJI.
 
Wewe mwenyewe afya ya kiswahili chako ni duni...sijaelewa kwanini watanzania waelezewe 'sela' pia 'kasolo' ni ugonjwa unaosumbua nini?
 
Lowasa hata kama atasimamia magongo, napenda kumhakikishia kura yangu keshaipata.
 
Hata ulete hadithi gani, kura yangu kwa LOWASA. hata akipunga mkono kusalimia tu inatosha. anayo team nzuri ya watendaji. subiri akuwekee baraza la mawaziri atakaowasimamia kwa umakini chini ya UKAWA. hapo utajua maharage siyo mboga ni kiungo cha makande.
 
Back
Top Bottom