Miji Ghali Duniani

Miji Ghali Duniani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
Mji wa Hong Kong ndio ghali zaidi duniani

160622085108_cn_hongkong_skyline_640x360_bbcchinese_nocredit.jpg
Image copyrightBBC CHINESE
Image captionHong Kong
Mji wa Hong Kong ndio mji ghali zaidi duniani baada ya kuupiku mji wa Luanda, Angola kulingana na wafanyikazi wa kimataifa katika utafiti wa kila mwaka unaofanywa na shirika la Mercer.

Luanda ambao ulikuwa unaongoza orodha hiyo katika siku za hivi karibuni ulishuka kufuatia kudhoofika kwa sarufi yake.

150328210553_luanda_640x360_bbc_nocredit.jpg

Image captionMji wa Luanda
Mji wa Zurich na Singapore ni ya tatu na nne mtawalia katika orodha hiyo ikiwa haijabadilika kwa mwaka mmoja sasa.

Mji wa Tokyo sasa umepanda hadi nafasi ya tano.

160408135759__zurich_havens_digihub_thinkstock_640x360_thinkstock.jpg
captionZurich
Utafiti huo unalenga kampuni zinazotakiwa kuhesabu marupurupu ya wafanyikazi wa kimataifa.

160608150825_singapore_internet_512x288_getty_nocredit.jpg

Singapore
Umepima gharama ya kuishi kwa takriban mataifa 209 duniani,ikilinganisha gharama ya viti 200 katika kila eneo ikiwemo,bei ya nyumba ya kuishi,uchukuzi,chakula na burudani.


BBC Swahili 22June 2016
 
Pale Hong Kong hotel ya $50 ni kama guest house ya 10000 hapa
 
Back
Top Bottom