Miji 10 hatari sana kwa pickpocketing Dunuani!

Miji 10 hatari sana kwa pickpocketing Dunuani!

Kinondoni studio pale stand bila kusahau Mwenge stand.
 
Kariakoo round about yanakosimama mabasi ya Temeke hasa jioni, Buguruni chama, Ubungo kituo cha daladala, Kino studio, Kinondoni Manyanya pale kituo cha mbele ya mataa barabara inayoelekea Selander kupitia ubalozi wa India, Posta mpya. Hilo ni jiji la Bongo Dar es Salaam

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Tunasoma vichwa vya habari bila kubrowse uhondo uliomo kwenye habari aliyotulietea. Nilichokipata baada ya kusoma ni kama list ifuatayo:

  1. [h=3] Pickpocket-1-400x400.jpg Barcelona[/h]
  2. [h=3] Pickpocket-2-400x400.jpg Prague[/h]
  3. [h=3] Pickpocket-3-400x400.jpg Rome[/h]
  4. [h=3] Pickpocket-4-400x400.jpg Madrid[/h]
  5. [h=3] Pickpocket-5-400x400.jpg Paris[/h]
  6. [h=3] Pickpocket-6-400x400.jpg Buenos Aires[/h]
  7. [h=3] Pickpocket-7-400x400.jpg Florence[/h]
  8. [h=3] Pickpocket-8-400x400.jpg Amsterdam[/h]
  9. [h=3] Pickpocket-9-400x400.jpg Hanoi[/h]
  10. [h=3] Pickpocket-10-400x400.jpg Athens[/h]
Ni jambo la kushangaza nchi zilizoendelea hasa bara la ulaya ambalo linaongoza kwa maendeleo kuliko mabara yote duniani ndilo linaloongoza kwa uchomoaji mifukono, maana yake wameendelea kwa kila kitu hata kwa wizi, na waathirika ni watalii kwani wengi wao huwa hawafikirii kwamba nchi hizo zina tatizo hilo wakiwa na fikra kwamba huko ni kama peponi. Nchini Marekani nadra sana kusikia histiria ya kuchomoleana mifukoni, labda mtu adondoshe chini na kibaka aipitie, lakini mstaarabu akiwa nyuma yako atakuita uchukue kilicho chako. Niliwahi dondosha buku ya $3000 sikuamini nilipoitwa niichukue na aliye nyuma yangu kwenye store, niliidondosha wakati nachukua kitu mfukoni nipo kwenye mstari counter.

Waathirika wengi ni wazungu maana wakianza kutalii na kushangaa hujisahau hata nini wanatakiwa kuwa makini nacho. Wamarekani ndio wanaochomolewa zaidi kwa vile hufikiria kama kwao kumbe wako dunia nyingine.
 
Jamaa ameuliza duniani nyie mnajibu bongo tu

Hajauliza. Bofya hayo maandishi yake itakupeleka kwenye habari zilizotaja hiyo miji 10 ya duniani. Kati ya hiyo miji 10, 8 ipo Uropa, 1 Amerika ya kusini, 1 Asia.

Hakuna hata mmoja Afrika, ina maana kwa wizi wa mifukoni kwetu ni cha mtoto.
 
Kwanza namshukuru Mwenyezi MUNGU kuwa kwa hili Afrika hatupo.
Pili, jamani topic ni miji duniani lakini watu wanajadili manzese.mtaa wa kongo. Japo ni kukwaa huru basi tubaki kwenye mada basiii.
 
Kwanza namshukuru Mwenyezi MUNGU kuwa kwa hili Afrika hatupo.
Pili, jamani topic ni miji duniani lakini watu wanajadili manzese.mtaa wa kongo. Japo ni kukwaa huru basi tubaki kwenye mada basiii.

wewe Vipi?unafaa kwani hapa bongo hawafanyi?
 
Hajauliza. Bofya hayo maandishi yake itakupeleka kwenye habari zilizotaja hiyo miji 10 ya duniani. Kati ya hiyo miji 10, 8 ipo Uropa, 1 Amerika ya kusini, 1 Asia.

Hakuna hata mmoja Afrika, ina maana kwa wizi wa mifukoni kwetu ni cha mtoto.

FaizaFoxy waambie wamezoea kusoma vichwa vya habari na kuvijadili bila body ya habari yenyewe, huu ni uvivu nisioupenda kabisa.
 
Hivi na huko majuu wakikamatwa huwa wanatandikwa kama huku kwetu ??
 
Jamaa ameuliza duniani nyie mnajibu bongo tu

Sisi huko duniani (miji ya nje) hatuna uzoefu nako so tumeamua kupick case study ya majiji ya Tz tu, rahisisha maisha bana hii sio NECTA wala UE.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom