dah!! hapa kwetu tunawaza business tu. hatuna habari na siasa wala muda nao.
muwe ni makamanda au mjiite sijui nini lakini mtabidi mtekeleze ilani ya ccm ya saa na zaidi ya miaka 50 ijayo.
Wote hakuna mwenye kazi hapo, majuha wakubwa
wee endelea ku'puruma' tu sisi twasonga.
Mkuu Wang ni gamba ukimhoji kitu anasema mavijana ya chadema bana mnapenda kuhoji
Pole saana Dada kutojua mlifanyalo, ila business siasa pia
tehe tehe tehe! Catherine kama ofisi yako iko busy na business km usemavyo mbona uko jukwaa la siasa jf? tuache masihara siasa ndo maisha yanapoanzia. kazi njema catherine.
Ni kweli, madada poa wengi hawajui siasa, wao ni business tu, tutawahesabia kwenye kura zilizoharibika
Hapa ofisini kwetu jamani imezidi na watu wanajadili siasa mpaka wengine wajiita makamanda. Vipi huko kwenu kati ya magamba na makamanda mambo yakoje? Kwetu hapa ukijulikana ni gamba utakosa raha.
ni kweli nilichosema, nipo jukwaa la siasa maana huku naona atleast kuna watu naweza jadiliana nao mawili matatu au naweza kusoma tu na kuona nini kinaendelea ila kwa hapa ofisini hawana habari na siasa. kazi njema na kwako ingawa nimechelewa kujibu.