chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,234
- 3,926
siye tunaishi nyumba za umma jamaa yetu alipandisha bendera kwenye nyumba anayo ishi ilibidi tumuombe aishushe kwan ni kinyume na utumishi.watumishi wote hapa ofsin ni makamanda mpaka wives kuanzia mkuu hadi sekretary sijui itakuaje 2015 labda ndoo maana jk alishaoteshwa na akawaoteshea wenzake kujiandaa kisaikolojia