Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,712
Mimi ndo nmefuta,
mpaka uniombe msamaha
Mimi ndo nmefuta,
mpaka uniombe msamaha
umefuta au umeuteka?Mimi ndo nmefuta,
mpaka uniombe msamaha
mh nimeandika maneno mingi. sio neno pumba tuItakua uliandika pumba siku iz wanalinda server kujaa ujinga
Hahaha hiyo haija tupwa bali imetekwa labda wawe wameitupa sasa hivthread za kipuuz tupa kuleeeeeeee
Pole sana ulisumbua vidole vyako kuweka mashudu humu, yametolewa wamepewa nguruwe waleunadhan huo ni msaada kwangu wakati thread yang imeshafutwa hawajui nilivyo sumbua vidole kutype
hahahaha! wana roho mbaya ujue mwenyewe niliwaekea kuku.Pole sana ulisumbua vidole vyako kuweka mashudu humu, yametolewa wamepewa nguruwe wale
Wewe ni KICHAASubir niache tu nitaenda kupost fb,twitter au hata forum ya kenya.
Bora sio mbwa tu ila ukichaa ninao ila co wa maradh mana kila mwana wa adam ana ukichaa wakeWewe ni KICHAA
kwa akili hii moderator yeyote aliyefuta ulicholeta ana haki.Subir niache tu nitaenda kupost fb,twitter au hata forum ya kenya.
Kutokupost siyo kujitoa. Nataka kuifuta kabisa account yangu...Acha kupost