Miili sita kwanza ilizikwa kimyakimya na mwili wa saba nao ukazikwa kwa namna hiyo, kwanini?

Tujiulize sana no kwanini jeshi la polisi baada ya kupewa taarifa za kupatikana miili ya wanaume sita tena wakiwa wameuawa na kuwekwa kwenye mifuko walikuja mbio mbio na kuizika bila hata ya kufanya uchunguzi wowote ule. Kwanini? Ni jambo la kawaida kweli kulifikiri kikawaida?

Baada ya hapo tena siku iliyofuata ukaonekana mwili mwingine wa saba na jeshi hilohilo likafanya staili ile ile. Je walikuwa na taarifa kuwa kutatokea tena mwili wa saba? Kwanini baada ya kuizika miili hiyo hawakuhangaika kubaini kama ipo mingine? Walijua idadi yake? Kwanini baada ya kuizika ile miili sita na kisha kuonekana huo wa saba hawakuanzisha operesheni maalum?

Zipo taarifa kuwa askari polisi ndani ya jiji la Dar es Salaam wanafanya operesheni maalum kupambana na mikusanyiko ya vijana wakitumia silaha za moto na maelekezo hayo walipewa na mkuu wa mkoa. Ukiwa mtaani siku hizi unasikia milio ya risasi ikiwa imetapakaa kama vile sasa tupo kwenye mapambano ndani ya jiji hilo.

Kwa hili la miili kuzikwa kienyeji tena na vyombo tulivyokabidhi jukumu la kulinda raia ni lazima lihojiwe na taarifa za kina kuhusu miili ile zitolewe!
Polisi hawawezi kuweka mwili bila ya sababu yoyote,wanachofanya ni ku identify kama kuna majeraha na kuchukua sample za DNA
Kawaida akitokea mtu au sababu inayohusiana na kifo/vifo hivyo,polisi watatoa kibali chakufua mwili na kuufanyia uchunguzi wa kiundani zaidi.
Vinginevyo wale wanachukuliwa kuwa wameuawa na mob justice,lakini faili halifungwi watu wanapeleleza chini kwa chini,kama tukio la yule bondia alieuawa,washukiwa wamekamatwa na kesi ipo mahakamani.

Kuhusu hizo taarifa za kuamriwa kuuwa na mkuu wa mkoa labda ungeleta uthibitisho,vinginevyo ni yale yale majungu tuu
 
Mkuu hata kama unatetea ukweli utabaki pale pale,
1:kama wamechukua DNA mbona hakuna popote walipotangaza kujitokeza kwa ndugu waliopotelewa na wanafamilia wao.
2:Waziri wa mambo ya ndani amejuaje kuwa wale ni wahamiaji harm?,kama ndiyo atuambie ni wa nchi gani,
3:Sheria za kimataifa za wahamiaji haramu zinasema wakikutwa wamekufa wawekwe kwenye viroba na wafungiwe mawe na kutoswa kwenye maji?
NB:Serikali inaweza isijue ila yeye Mwigulu binafsi anajua wale maiti ni akina nani,na walioshiriki kuwatosa kwenye maji a nawajua.
hahaha, angalia kwenye red, hivi waliowaua na kuwaweka kwenye rambo na kuwatupa majini na mawe ni askari? askari si waliwaokota na kuwazika nchi kavu mzee? unauliza waziri tena wa mambo ya ndani alijuaje kama ni wahamiaji haramu, hujui kama huyo ndio waziri wa ofisi ya intelijensia ya mambo ya ndani? polisi wote wa uhamiaji wapo chini yake, na zaidi sana kuna wahamiaji haramu walio hai wamekamatwa maeneo hayohayo, unajuaje kama upelelezi kwa kushirikiana na hao wahamiaji wengine 80 waliokamatwa ndio wamethibitisha hilo? pia, hivi upelelezi gani unaweza kuufanya huku ukirusha taarifa jf au kwenye television? lini ulishawahi kuwa na access na jalada la polisi wewe hapo? hayo ni mambo ya upelelezi hawezi kuja kukuambia wee hapa in public, utakua sio upelelezi tena. kama kuna watu wabaya wataficha zaidi mambo yao sasa. cha kujiuliza, ni nani ameshaenda polisi kulalamika hapa tz kwamba ndugu yake amepotea haonekani? kama yupo sema. na hizo sheria za uhamiaji sijui za kimataifa unazozisema, ni zipi? unazijua au unazisikia tu? msijifanye wajuaji kumbe mnajifunza kujua.
 
Mkuu hata kama unatetea ukweli utabaki pale pale,
1:kama wamechukua DNA mbona hakuna popote walipotangaza kujitokeza kwa ndugu waliopotelewa na wanafamilia wao.
2:Waziri wa mambo ya ndani amejuaje kuwa wale ni wahamiaji harm?,kama ndiyo atuambie ni wa nchi gani,
3:Sheria za kimataifa za wahamiaji haramu zinasema wakikutwa wamekufa wawekwe kwenye viroba na wafungiwe mawe na kutoswa kwenye maji?
NB:Serikali inaweza isijue ila yeye Mwigulu binafsi anajua wale maiti ni akina nani,na walioshiriki kuwatosa kwenye maji a nawajua.
Mambo ya usalama yana taratibu zake mkuu hawakutupukagi kutoa taarfa ktka vyombo vya habar na Mara nyingi mambo hayo hubaki siri kwa sabbu za kiusalama
 
hahaha, angalia kwenye red, hivi waliowaua na kuwaweka kwenye rambo na kuwatupa majini na mawe ni askari? askari si waliwaokota na kuwazika nchi kavu mzee? unauliza waziri tena wa mambo ya ndani alijuaje kama ni wahamiaji haramu, hujui kama huyo ndio waziri wa ofisi ya intelijensia ya mambo ya ndani? polisi wote wa uhamiaji wapo chini yake, na zaidi sana kuna wahamiaji haramu walio hai wamekamatwa maeneo hayohayo, unajuaje kama upelelezi kwa kushirikiana na hao wahamiaji wengine 80 waliokamatwa ndio wamethibitisha hilo? pia, hivi upelelezi gani unaweza kuufanya huku ukirusha taarifa jf au kwenye television? lini ulishawahi kuwa na access na jalada la polisi wewe hapo? hayo ni mambo ya upelelezi hawezi kuja kukuambia wee hapa in public, utakua sio upelelezi tena. kama kuna watu wabaya wataficha zaidi mambo yao sasa. cha kujiuliza, ni nani ameshaenda polisi kulalamika hapa tz kwamba ndugu yake amepotea haonekani? kama yupo sema. na hizo sheria za uhamiaji sijui za kimataifa unazozisema, ni zipi? unazijua au unazisikia tu? msijifanye wajuaji kumbe mnajifunza kujua.
Yap maana wanajitia wajuaji kila sekta wamo,Mara dangote mara escrw Mara SAA tisa ,masiasa yanawasumbua
 
Kumbe nawewe nawe ni mjinga tena sana. Hata kama ni wahamiaji haramu je walipaswa kuwawa kinyama namna hiyo? Nani aliye wauwa? Kwann? Wapi na lini? Acha kauri za kibaguzi kama hitra dhidi ya wayahudi. (Wao....Sisi)
Wwe ndo mpuuzi hujui maana ya kuuwawa,kuuliwa na kufa unakurupuka
 
Kweli kabisa mimi mwenyewe juzi polisi walinikamata bila kosa na kunisweka cello... Sikuchukuliwa maelezo kesho yake wakani sainisha document ambayo sijui inahusu nini na kuweka alama ya dole gumba langu kwenye likitabu lao. Kisha nikaachiwa huku wakinipa order ya kuripoti kituoni kila siku.
Jamaa hawa wananyanyasa sana.
this is a stupid country
 
kugundua tatizo ni nusu ya kupata jibu. ila ninashukuru lema mpaka leo yupo mahabusu kwabababu ninauhakika naye angekuwepo mtaani saizi angekuwa ameisha potea.
 
utashangaa unasema this is a stupid country kumbe hata haupo tz. na kama upo tz, nenda katafute nchi nyingine uishi huko, nenda hata burundi au rwanda. usitupotezee muda hapa.
kwani kuwa mtanzania ndio nini?
 
Sjaona hoja kwakweli.... Kama maandalizi ya OP kata funua yamewachosha laleni wacheni kufuta ndumu
 
kwani kuwa mtanzania ndio nini?
sasa kama hauoni ufahari kuwa mtz, sema. achana na nchi yetu unajihusisha nayo ya nini? nenda huko nchi za ulaya wanakoruhusu ufala kaolewe uwazalie na watoto. pusi nyie.
 
sasa kama hauoni ufahari kuwa mtz, sema. achana na nchi yetu unajihusisha nayo ya nini? nenda huko nchi za ulaya wanakoruhusu ufala kaolewe uwazalie na watoto. pusi nyie.
ww nakufananisha na mbwa unakuta swala ameshika yeye lakini lakini mwisho wa siku anakuja kupewa utumbo.
ni sawa na ww unafurahia kuwa mtanzania wakati huo hauthamiki kwenye nchi yako.
 
Tujiulize sana no kwanini jeshi la polisi baada ya kupewa taarifa za kupatikana miili ya wanaume sita tena wakiwa wameuawa na kuwekwa kwenye mifuko walikuja mbio mbio na kuizika bila hata ya kufanya uchunguzi wowote ule. Kwanini? Ni jambo la kawaida kweli kulifikiri kikawaida?

Baada ya hapo tena siku iliyofuata ukaonekana mwili mwingine wa saba na jeshi hilohilo likafanya staili ile ile. Je walikuwa na taarifa kuwa kutatokea tena mwili wa saba? Kwanini baada ya kuizika miili hiyo hawakuhangaika kubaini kama ipo mingine? Walijua idadi yake? Kwanini baada ya kuizika ile miili sita na kisha kuonekana huo wa saba hawakuanzisha operesheni maalum?

Zipo taarifa kuwa askari polisi ndani ya jiji la Dar es Salaam wanafanya operesheni maalum kupambana na mikusanyiko ya vijana wakitumia silaha za moto na maelekezo hayo walipewa na mkuu wa mkoa. Ukiwa mtaani siku hizi unasikia milio ya risasi ikiwa imetapakaa kama vile sasa tupo kwenye mapambano ndani ya jiji hilo.

Kwa hili la miili kuzikwa kienyeji tena na vyombo tulivyokabidhi jukumu la kulinda raia ni lazima lihojiwe na taarifa za kina kuhusu miili ile zitolewe!
Watoe maelezo ya kina kwa sababu huwez kufanya mazishi ya milli iliyookotwa Bila kutoa taarifa kwa umma na kutoa Muda kwa umma kuweza kushiriki katika kutambua marehemu hususan waliopotelewa na ndugu zao.Wahusika wajitokeze na kufafanua ili swala kisheria ili kuondoa hii sintofahamu iliyotanda!
 
Tujiulize sana no kwanini jeshi la polisi baada ya kupewa taarifa za kupatikana miili ya wanaume sita tena wakiwa wameuawa na kuwekwa kwenye mifuko walikuja mbio mbio na kuizika bila hata ya kufanya uchunguzi wowote ule. Kwanini? Ni jambo la kawaida kweli kulifikiri kikawaida?

Baada ya hapo tena siku iliyofuata ukaonekana mwili mwingine wa saba na jeshi hilohilo likafanya staili ile ile. Je walikuwa na taarifa kuwa kutatokea tena mwili wa saba? Kwanini baada ya kuizika miili hiyo hawakuhangaika kubaini kama ipo mingine? Walijua idadi yake? Kwanini baada ya kuizika ile miili sita na kisha kuonekana huo wa saba hawakuanzisha operesheni maalum?

Zipo taarifa kuwa askari polisi ndani ya jiji la Dar es Salaam wanafanya operesheni maalum kupambana na mikusanyiko ya vijana wakitumia silaha za moto na maelekezo hayo walipewa na mkuu wa mkoa. Ukiwa mtaani siku hizi unasikia milio ya risasi ikiwa imetapakaa kama vile sasa tupo kwenye mapambano ndani ya jiji hilo.

Kwa hili la miili kuzikwa kienyeji tena na vyombo tulivyokabidhi jukumu la kulinda raia ni lazima lihojiwe na taarifa za kina kuhusu miili ile zitolewe!
Waliouawa wote ni wapinzani wa udilkteta uchwara, ila na wao walioua kuna siku mauti itawakuta
 
Back
Top Bottom