Miiko yangu kama kijana katika Maisha

Miiko yangu kama kijana katika Maisha

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2017
Posts
1,011
Reaction score
1,915
Habari,

Moja ya sifa nzuri ya kijana kujiita msomi ni kuwa na misimamo ya kipekee na kitofauti maishani bila kuvunja she ria yoyote ile.

Moja ya misimamo niliyojiwekea maishani mwangu ni kama ifuatavyo.

1. Sina muda wa kumsikiliza mtu yoyote anayejiita mwanasaikolojia au mshauri wa maisha.,,hii nimejiwekea Mimi binafsi baada ya kutoona matokeo yoyote chanya katika jamii zaidi ya Kudanganya wanawake.

2. Simwamini kiongozi yeyote wa dini,ninawasikiliza mahubiri yao Ila sitamani kuwa kama wao maana mahusiano yaliyo bora ni mwanadamu na Mungu.

3. Nikipokea Simu sitaongea mpaka nipate respond upande wa pili.

4. Siombi salamu.

5. Sipendi kunyenyekewa.

6.Siwezi kuingizia Facial Expression yaani niwe nimekasirika nijichekeshe Haiwezekani.

7.Sipendi kumuuliza mtu personal Details.
 
8. Kutoshiriki tendo la ndoa kabla ya kufunga ndoa

9. Kuto omba omba watu misaada hasa ya kifedha.

10. Kutowachukia watu na kuwatukana.

11. Kutowasema vibaya wengine
 
Rule namba 1..Sitegemei chochote kutoka kwa mtu..
2.Sisemi na sitokaa niseme ninakopatia pesa zangu..
3.Mipango yangu mingi ni siri.
4.Sifungukagi mambo yangu kwa mtu yoyote
5. Sifanyi ngono nje ya ndoa.
6. Simsengenyi mtu yeyote
 
Moja ya misimamo niliyojiwekea maishani mwangu ni kama ifuatavyo.

1.Sina muda wa kumsikiliza mtu yoyote anayejiita mwanasaikolojia au mshauri wa maisha.,,hii nimejiwekea Mimi binafsi baada ya kutoona matokeo yoyote chanya katika jamii zaidi ya Kudanganya wanawake.

2.Simwamini kiongozi yeyote wa dini,ninawasikiliza mahubiri yao Ila sitamani kuwa kama wao maana mahusiano yaliyo bora ni mwanadamu na Mungu.

3.nikipokea Simu sitaongea mpaka nipate respond upande wa pili.

4.Siombi salamu.

5.Sipendi kunyenyekewa.

6.Siwezi kuingizia Facial Expression yaani niwe nimekasirika nijichekeshe Haiwezekani.

7.sipendi kumuuliza mtu personal Details.
Mzee umetisha sana,Hutofautiani na mm then ongesea hapo jaribu kujiepusha na kufanya mipango na waswahili au baadh ya hawa watz sababu ni wajanja wajanja sana na hawajui kitu(sio potential)
 
Habari,

Moja ya sifa nzuri ya kijana kujiita msomi ni kuwa na misimamo ya kipekee na kitofauti maishani bila kuvunja she ria yoyote ile.

Moja ya misimamo niliyojiwekea maishani mwangu ni kama ifuatavyo.

1. Sina muda wa kumsikiliza mtu yoyote anayejiita mwanasaikolojia au mshauri wa maisha.,,hii nimejiwekea Mimi binafsi baada ya kutoona matokeo yoyote chanya katika jamii zaidi ya Kudanganya wanawake.

2. Simwamini kiongozi yeyote wa dini,ninawasikiliza mahubiri yao Ila sitamani kuwa kama wao maana mahusiano yaliyo bora ni mwanadamu na Mungu.

3. Nikipokea Simu sitaongea mpaka nipate respond upande wa pili.

4. Siombi salamu.

5. Sipendi kunyenyekewa.

6.Siwezi kuingizia Facial Expression yaani niwe nimekasirika nijichekeshe Haiwezekani.

7.Sipendi kumuuliza mtu personal Details.

Sawa mzee
 
Habari,

Moja ya sifa nzuri ya kijana kujiita msomi ni kuwa na misimamo ya kipekee na kitofauti maishani bila kuvunja she ria yoyote ile.

Moja ya misimamo niliyojiwekea maishani mwangu ni kama ifuatavyo.

1. Sina muda wa kumsikiliza mtu yoyote anayejiita mwanasaikolojia au mshauri wa maisha.,,hii nimejiwekea Mimi binafsi baada ya kutoona matokeo yoyote chanya katika jamii zaidi ya Kudanganya wanawake.

2. Simwamini kiongozi yeyote wa dini,ninawasikiliza mahubiri yao Ila sitamani kuwa kama wao maana mahusiano yaliyo bora ni mwanadamu na Mungu.

3. Nikipokea Simu sitaongea mpaka nipate respond upande wa pili.

4. Siombi salamu.

5. Sipendi kunyenyekewa.

6.Siwezi kuingizia Facial Expression yaani niwe nimekasirika nijichekeshe Haiwezekani.

7.Sipendi kumuuliza mtu personal Details.
1) sitaki mishangazi
2) sitaki kutongozwa
3) sitaki kumchezea mtoto wa mtu [emoji16]
 
Back
Top Bottom