Nikumbushe kesho Kuna sehem niliandika namba zakeWakuu ni wapi naweza pata mihuri ya Expire Date? Naihitaji sana mwenye link anisaidie.
Asante sana
Siyo ustaarabu kuweka namba yako wazi namna hii. Ungemfuata PM huko ukampa. Ni ushauri tu lakini...Nikumbushe kesho Kuna sehem niliandika namba zake
Alisema yupo mwenge nadhani
Namba yangu 0769922210 nitext kesho nikuangalizie
Suala la kuweka namba public ni hiyari ya mtu,kuna wanaojali na wasiojali.Ungemshauri tu madhara ya kuweka namba hadharani lakini sio kumwambia sio ustaarabu.Siyo ustaarabu kuweka namba yako wazi namna hii. Ungemfuata PM huko ukampa. Ni ushauri tu lakini...
Suala la kuweka namba public ni hiyari ya mtu,kuna wanaojali na wasiojali.Ungemshauri tu madhara ya kuweka namba hadharani lakini sio kumwambia sio ustaarabu.