Mihemko ikizidi afanyeje?

Mihemko ikizidi afanyeje?

we mwache tu usimbane ila kaa nae umpe sex education. Ongea nae hata kama akiamua kwenda ajue kunani huko lakn kumbana si rahis huu ndo wakat wake wa kutaman
 
Sasa wataka kufukuza kabinti kwa sababu ya mabadiliko tu ambayo anakumbana nayo...we nyakati hizo ulizipitaje?
 
mnunulie dildo. harafu sio vizuri kutumia neno 'nimfukuze'.
 
Ndugu wana jf,

Mimi ninaishi na msichana wa kazi, nilimchukua akiwa mdogo alivo maliza la saba mwaka 2010 Sasa msichana huyu amekuwa ana mihemuko ya hali ya juu anatamani hata kubaka ni vile tu nimembana sana naogopa kumwacha huru kwani misela itampa mimba mana hajui lolote kuhusu kijizuia.

Msichana huyu ni mwaminifu nasafiri namwachia nyumba....

Keshaanza mambo hayo...hasa unapokuwa safari. Angalia tu mumeo asije pitia...kama bado!
 
Kwanza ungemkalisha chini umpe darasa....

Pia kumwonya kama mwanao.

Tatu umpe off kwa vile wamlinda angalau mara 1 kwa mwezi

Ukimlinda asiliwe nje ataliwa ndani mwako
 
Kwani mtoa mada si mwanamke au? Mi ndo nmesoma vibaya..
Endelea kumkataza,mpige marufuku tabia za kujishika shika na kuongea mambo ya ajabu mbele za watu,ajifunze kujiheshimu,muweke busy na shughuli za nyumbani,pia kwenda nae kanisani au masjid,ajiunge kwaya o something,
mana hapo ukimruhusu hata once imekula kwako si unajua mambo ya kikubwa ukishaanza huachi...na atakuwa anawaleta hadi home

Ndugu yngu unayafahamu yanayoendelea huko kwenye kwaya?
Atakutana na kwaya masta atamtafuna mpaka mifupa
 
Mwache akapate dushe ila mfundishe mambo ya kinga ya magonjwa/ujauzito kabla ya kumpa uhuru wa kutoka na uhuru huo si wa kwenda kulala huko huko.
 
Namsikia anavyo ongea ongea, mara maziwa yangu mazuri, ------ yangu mazuri, anasema mwanaume atakae nipata atafaidi akisema hivo tu anaaza kucheka anajishika shika adi anajitia midole kunako ofic anajichokonoa afu nkimuliza anasema anafangas zinamla ndani. Kuna mida ananiambia yeye hataki kuondoka ila anaomba nimuache huru kwani yeye amekua na hisia za mapenzi zina msumbua anasema ninavo mbana yeye afanyeje. Nikweli yuko hivo nikimwambia hamna kutoka na wala nisikuone na wanaume analia kweli

jaman ant bora huyo bnt anaekwambia ukwel kamaunaweza mruhusu awe na m2 ila heshima inahitajika na kumruhusu huko sio moja kwamoja hapana me mnarafk angu anabint wa kaz ameish nae zaid ya 6yrz cku mojamoja akiwa hom anampa chance bnt aende kwa m2 wake na bint anaheshima na adabu
irimrad ongea nae kuhusu mimba na magonjwa.
 
hv ungekua wewe ungeweza hujui gnye mbaya.
 
Duuh!
i hope you are lying! Mtu wa hivyo unakaa nae na unamsifia anaangalia watoto vizuri? Na ana uthubutu wa kufanya na kuongea hayo mbele yako (unahisi haongei hivyo mbele ya wanao na mumeo?)
Namsikia anavyo ongea ongea, mara maziwa yangu mazuri, ------ yangu mazuri, anasema mwanaume atakae nipata atafaidi akisema hivo tu anaaza kucheka anajishika shika adi anajitia midole kunako ofic anajichokonoa afu nkimuliza anasema anafangas zinamla ndani. Kuna mida ananiambia yeye hataki kuondoka ila anaomba nimuache huru kwani yeye amekua na hisia za mapenzi zina msumbua anasema ninavo mbana yeye afanyeje. Nikweli yuko hivo nikimwambia hamna kutoka na wala nisikuone na wanaume analia kweli
 
Back
Top Bottom