Mpikie makande uweke mafuta ya taa! Good morning.
Na si ilikuwa ikifanya kazi mkuu au??!Mkuu umenichekesha sana, hii kitu tulikua tunafanyiwa wakati tupo boarding
Ndugu wana jf,
Mimi ninaishi na msichana wa kazi, nilimchukua akiwa mdogo alivo maliza la saba mwaka 2010 Sasa msichana huyu amekuwa ana mihemuko ya hali ya juu anatamani hata kubaka ni vile tu nimembana sana naogopa kumwacha huru kwani misela itampa mimba mana hajui lolote kuhusu kijizuia.
Msichana huyu ni mwaminifu nasafiri namwachia nyumba lakini anaangalia vizuri nyumba na watoto hivyo natamani kumfukuza lakini nashindwa kwajili ya uaminifu wake lakini genye zake ni kali nahisi hata mme akimuomba one day atampa.
Sasa nimeshindwa nifanyeje, nimfukuze, au nimuache yani sijui nimedata tu nimeona nililete kwenu mnisaidie.
Namsikia anavyo ongea ongea, mara maziwa yangu mazuri, ------ yangu mazuri, anasema mwanaume atakae nipata atafaidi akisema hivo tu anaaza kucheka anajishika shika adi anajitia midole kunako ofic anajichokonoa afu nkimuliza anasema anafangas zinamla ndani. Kuna mida ananiambia yeye hataki kuondoka ila anaomba nimuache huru kwani yeye amekua na hisia za mapenzi zina msumbua anasema ninavo mbana yeye afanyeje. Nikweli yuko hivo nikimwambia hamna kutoka na wala nisikuone na wanaume analia kweli
Na si ilikuwa ikifanya kazi mkuu au??!
We mwongo.
Sema wewe. This is BS! Mdada wa kazi ajitie vidole mbele ya bosi?
One mistek one goli chunga mumeo asitambue hilo wala usithubutu kumwambia coz lazima afanyie hapo zoezi la kutoa bikira kama hakuikuta kwako..
Kwanza umeandika unaogopa kumuacha huru, then tena ukasema huwa unasafiri na anakulindia nyumba vizuri....umenikanganya.
Pia mbona maelezo yako yanaonyesha ni kama ana matatizo ya kiakili zaidi kuliko hiyo mihemuko ?
Ndugu wana jf,
Mimi ninaishi na msichana wa kazi, nilimchukua akiwa mdogo alivo maliza la saba mwaka 2010 Sasa msichana huyu amekuwa ana mihemuko ya hali ya juu anatamani hata kubaka ni vile tu nimembana sana naogopa kumwacha huru kwani misela itampa mimba mana hajui lolote kuhusu kijizuia.
Msichana huyu ni mwaminifu nasafiri namwachia nyumba lakini anaangalia vizuri nyumba na watoto hivyo natamani kumfukuza lakini nashindwa kwajili ya uaminifu wake lakini genye zake ni kali nahisi hata mme akimuomba one day atampa.
Sasa nimeshindwa nifanyeje, nimfukuze, au nimuache yani sijui nimedata tu nimeona nililete kwenu mnisaidie.