Jenerali QoyoJB
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 304
- 162
Minakushauri panga safari uende kwenu kusalimia kwa wiki 1 halafu mumeo abaki naye hasa akiwa off, mwambie ampikie baba vizuri we unasafiri utarudi baada ya wiki. Ukirudi huyo binti hata sumbua tena. Atakaa na watoto kwa amani. Ila ukirudi usimuulize memeo jambo lolote kuhusu binti.