Ndugu wana jf,
Mimi ninaishi na msichana wa kazi, nilimchukua akiwa mdogo alivo maliza la saba mwaka 2010 Sasa msichana huyu amekuwa ana mihemuko ya hali ya juu anatamani hata kubaka ni vile tu nimembana sana naogopa kumwacha huru kwani misela itampa mimba mana hajui lolote kuhusu kijizuia.
Msichana huyu ni mwaminifu nasafiri namwachia nyumba lakini anaangalia vizuri nyumba na watoto hivyo natamani kumfukuza lakini nashindwa kwajili ya uaminifu wake lakini genye zake ni kali nahisi hata mme akimuomba one day atampa.
Sasa nimeshindwa nifanyeje, nimfukuze, au nimuache yani sijui nimedata tu nimeona nililete kwenu mnisaidie.
Mimi ninaishi na msichana wa kazi, nilimchukua akiwa mdogo alivo maliza la saba mwaka 2010 Sasa msichana huyu amekuwa ana mihemuko ya hali ya juu anatamani hata kubaka ni vile tu nimembana sana naogopa kumwacha huru kwani misela itampa mimba mana hajui lolote kuhusu kijizuia.
Msichana huyu ni mwaminifu nasafiri namwachia nyumba lakini anaangalia vizuri nyumba na watoto hivyo natamani kumfukuza lakini nashindwa kwajili ya uaminifu wake lakini genye zake ni kali nahisi hata mme akimuomba one day atampa.
Sasa nimeshindwa nifanyeje, nimfukuze, au nimuache yani sijui nimedata tu nimeona nililete kwenu mnisaidie.