KUN
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 382
- 80
Wana JF, habari za leo!
Nimekuwa na tatizo la kusumbuliwa na miguu kwa mda wa mwezi mmoja sasa, hili tatizo huwa linanikuta hasa ninapokuwa nimekaa kwenye kiti nimetulia au nikiwa nafanya kazi maana kwa siku moja muda wangu wa kazi nakuwa nimekaa masaa 7 hadi 8! miguu huwa inauma, kuwasha, inachoka, inakuwa mizito. Hili tatizo huwa silisikii kabisa nikisimama au kutembea tembea au hata nikilala kitandani huwa silisikii.
Wana JF naomba mnisaidie kwa anayejua tatizo hilo linasababishwa nanini na naweza kulitatua vipi!
Ahsanteni.
Nimekuwa na tatizo la kusumbuliwa na miguu kwa mda wa mwezi mmoja sasa, hili tatizo huwa linanikuta hasa ninapokuwa nimekaa kwenye kiti nimetulia au nikiwa nafanya kazi maana kwa siku moja muda wangu wa kazi nakuwa nimekaa masaa 7 hadi 8! miguu huwa inauma, kuwasha, inachoka, inakuwa mizito. Hili tatizo huwa silisikii kabisa nikisimama au kutembea tembea au hata nikilala kitandani huwa silisikii.
Wana JF naomba mnisaidie kwa anayejua tatizo hilo linasababishwa nanini na naweza kulitatua vipi!
Ahsanteni.