baunsamuoga
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 1,108
- 1,139
Mkuu mapenzi Yana uchosha moyo! Hivyo vilio acha mpaka wafiwe
Ulijionea nini huko? Au na wewe uliishia kukwea mnazi na mkono kama ApolloShadowMe sijasema hayoo 😏😏, ngoja niingie technology forum
Yanauchoshaje tena? Mimi ninavyojua mapenzi yanaupa raha moyo mpaka unatoa kelele za furaha 😂.Mkuu mapenzi Yana uchosha moyo! Hivyo vilio acha mpaka wafiwe
Sasa hapa neno jipya liko wapi 🤣?Nilidhani nishasikia maneno yote, kumbe kuna mapya bado..!!!
Siyo upya wa neno mojamoja bali upya wa muunganiko wa maneno yakatengeneza sentensiSasa hapa neno jipya liko wapi 🤣?
Acha kunichota buana 😄 kwamba “kuinamishwa al-kasusu ikachapwa bafuni, baMtu aanzie kumwaga huko kale kabao ka kwanza ka kiherehere” ulikua hujawahi kusikia 🤣🤣SIyo upya wa neno mojamoja bali upya wa muunganiko wa maneno yakatengeneza sentensi
Haha nimecheka sana 😅Eeenh elimonii parangooooo😂😂😂
Namba gani unahitaji mkuu?Nipe namb
Nina uhakika na hilo, hand users walipata vitendea kazi.Kuna watu wamekesha kwenye huu uzi☺️
Loh! mbona mapema hivyo hata mahari sijalipiwa, akiingia mitini je🤣🤣🤣Nina uhakika na hilo, hand users walipata vitendea kazi.
Umeamkaje bi harusi 🤣?
Akiingia mitini mbona kuna backup za vijana wengine wanaojielewa akina Al-mukheef , dosho12 , na ApolloShadow utajichagulia tu wewe mwenyewe 🤣Loh! mbona mapema hivyo hata mahari sijalipiwa, akiingia mitini je🤣🤣🤣
🤣🤣🤣sikutegemea kama ungemtaja ApolloAkiingia mitini mbona kuna backup za vijana wengine wanaojielewa akina Al-mukheef , dosho12 , na ApolloShadow utajichagulia tu wewe mwenyewe 🤣
Huyu kijana bikra shida yake moja tu, anependa kujiektisha na ni muongo muongo, ila najua utammudu 🤣🤣🤣🤣sikutegemea kama ungemtaja Apollo
Huyu kijana anaonekana anapenda sana kamnyweso, si atakuwa ananirudia nyumbani alfajiri sitaki mie😅😅Huyu kijana bikra shida yake moja tu, anependa kujiektisha na ni muongo muongo, ila najua utammudu 🤣
Anaweza kulewa penzi lako 🤣🤣🤣 akawa anarudi jioni mapema tu, saa kumi na moja kasoro yupo home.Huyu kijana anaonekana anapenda sana kamnyweso, si atakuwa ananirudia nyumbani alfajiri sitaki mie😅😅
🤣🤣🤣si ntazeeka kabla ya muda wanguAnaweza kulewa penzi lako 🤣🤣🤣 akawa anarudi jioni mapema tu, saa kumi na moja kasoro yupo home.
Anaichapa akitoka kazini, anaichapa mkitaka kulala na unaamka imo, inatandikwa tena 🤣🤣🤣 hapo ndiyo utawish bora angekua mlevi wa kamnyweso 🤣
Ndiyo “pick your struggle” kwa utulivu 🤣🤣🤣🤣si ntazeeka kabla ya muda wangu
Nisamehe Madam wangu kwa kukuita blaza 🙏🏾 😃 basi mwenzio nikabet the next song itakuwa Power Trip kumbe ni Crooked Smile 😄😄😄 sema we unanifaa nice pick hebu nionyeshe playlist yako kwa urefu nione test yako zikimatch tu ujue tiyali (tayari 😂) kimeumana.Unanikosea sana singasinga kuniita blaza 🤣🤣😅
I love J cole toka kitambo, jioni hii nilikua nasikiliza 3 of my favs from him, love yours ni mojawapo.
View attachment 3455736