Migomo ya walimu ya enzi ya JK imepotelea wapi?

Migomo ya walimu ya enzi ya JK imepotelea wapi?

Habari wana jf?
Enzi za JK walimu kupitia Viongozi wa CWT walikuwa wakitangaza migomo wakidai haki zao kama vile nyongeza ya mshahara, n.k. siku hizi mbona hatusikii Viongozi hao wakitangaza hiyo migomo ilihali serikali ya JPM haijafanya chochote kwa walimu hao. Je, hii inamaanisha nini kwa Viongozi hawa?
Dikteta Uchwara- Tundu Lissu
 
Tatizo ni Rais wa TUCTA wa sasa n mdebwedo

Akiwaambia Mgome mtagoma au unataka Mke wa Jamaa aanze kuitwa Mjane na Watoto wake waitwe Watoto wa Marehemu?
Mbowe aliwambia mjitokeze kwny Ukuta mkaingia mitini!

Mshahara mnaopokea Leo ni ule wa 2014 alioacha Mkwere ,Siku hizi ile Tarehe ya ongezeko la Mshahara tunaitumia kuzindua uhakiki Mpya
 
Ufanisi maofisini ni kama umeshuka sana, naskia ni lawama tu
 
kasome uchumi law of demand and supply utapata jibu
 
Siyo waalimu tu mpaka wanafunzi hakuna migomo kwenye shule wala vyuoni. Enzi zetu Advanced tumegoma Mara 2, chuo nako tumegoma
 
kwa hali ya sasa hivi hicho kidogo wanachopata ni kikubwa sana maanq mtaani vyuma vimekaza hakuna biashara iliyosimama sasa akigomq atakuja mtaani kufanya nini bora avumilie kidogo wanachopata hata kama wanadhulumiwa ila uhakika wa kukinga bakuli mwisho wa mwezi upo
 
Thubutu yao!!! Huo umaskini jeuri walikua wanamletea mkwele tu
Ugome na kuna watu lukuki wanapatamani pale ulipoo....goma utolewe kabisa waajiriwe wenzako
 
Akiwaambia Mgome mtagoma au unataka Mke wa Jamaa aanze kuitwa Mjane na Watoto wake waitwe Watoto wa Marehemu?
Mbowe aliwambia mjitokeze kwny Ukuta mkaingia mitini!

Mshahara mnaopokea Leo ni ule wa 2014 alioacha Mkwere ,Siku hizi ile Tarehe ya ongezeko la Mshahara tunaitumia kuzindua uhakiki Mpya
Yeye mbowe alijitokezea upande gani???
 
Back
Top Bottom