Mifuko ya hifadhi ya jamii yaanza kujenga viwanda

Mifuko ya hifadhi ya jamii yaanza kujenga viwanda

Ajira ni kwenye nyanja zote,kuanzia kulima,utayarishaji,uzalishaji,usambazaji,uuzaji zote ni ajira,tusielekeze fikra zetu kwenye kiwanda pekee

Nilikuwa Mtibwa, Turiani recently. Mtibwa sugar imeajiri wafanyakazi (directly) around 900. Out growers (Wakulima wanaolima miwa na kukiuzia kiwanda) zamani walikuwa around 6000 (records za chama cha wakulima wa miwa) but sasa namba imeshuka mpaka 3000-4000 kwa sababu ya poor performance ya kiwanda, uongozi unaolalamikiwa kila kukicha etc..
 
Kiwanda Kitazalisha tani 200000 kwa hili sawa ila kwa hili la kitaajil watu 100000? Mungu nipe uzima mpka nione haya maajabu.
ha ha ha... hapo haina maana wote hao watafanya kazi kiwandani. wengine kazi ni kulima miwa, wengine kumwagilia, wengine kukata miwa, wengine ulinzi wa miwa, wengine kwenye huduma za jamii inayozunguka kiwanda hicho kama police, hospitali, shule nk.

niliwahi kufanya practical training pale kagera sugar (PT) wakati wa masomo yangu, sehemu ilipo kagera sugar ni karibu kata nzima wote wanajishughulisha na kiwanda direct na indirect. kuna wengine kazi ni kuuza pombe pale, lakin wanapata mahitaji yao. inawezekana kwa mantiki hiyo.
 
Huwezi kutumia pesa za mifuko ya jamii kujenga viwanda.

Hakuna short-term return na hata hiyo long-term return ni very risky.

Kuweka rekodi sawa si watanzania wote wanashangilia haya makosa ya makusudi yanayofanywa kwa kukiuka miongozo ya BOT na SSRA.

Hili suala la viwanda linageuka kuwa obsession itakoangusha uchumi kwa serikali kuweka nguvu kwa kitu ambacho hakilipi.

Muda utaongea.
inch ambazo ziliwahi kuendelea zilijitoa akili na kuwekeza kwa makusudi kabisa bila kujali outcome hizo unazosema.

ndo maana wasomi wengi wanaishia kupata kipato cha kujikimu tu huku waliokwepa shule wakipiga hatua zaidi na kuwa matajiri, ni kwa sababu ya akili za namna hii za kuogopa kutake risk.
 
figisu za biashara wanazijua??? sio baadae waanze kulia,

majengo yao mengi hayana wapangaji kutokana na kodi kubwa,lazima hizo bidhaa zao wataziuza bei kubwa halafu zitawaozea kama maghorofa yao yalivyobaki tupu
Mkuu mbona maneno yako yamejaa laana badala ya baraka?.
 
Back
Top Bottom