Miembe ya kisasa..

Miembe ya kisasa..

Tulizo

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2011
Posts
848
Reaction score
664
Miembe ya kisasa.. hakuna haja ya kurusha mawe kupopoa maembe...

337080_2545885131024_1370649574_33009953_1790957598_o.jpg
 
Kwa wale wakazi wa Arusha na Moshi Miembe ya aina hiyo inapatikana pale KIA karibu na querry.
 
Kwani wachina hawaruhusiwi kuishi indonesia?

Wanaruhusiwa kuishi Indonesia tena wengine ni raia kama tutakavyokuja kuwaona Chinese-Tanzanian baada ya miaka michache ijayo. Ila wenzetu wamewadhibiti wachina katika kuchakachua sio kama tulivyoshindwa sisi kuwadhibiti katika kuchakachua..hadi dawa za kuongeza hips..
 
Miembe hiyo inapatikana kuanzia Dar, Bagamoyo, Kibaha, Morogoro (SUA) na maeneo jirani, Mbeya na sehemu chache. ni miembe ya kawaida sana kwa sasa tatizo letu Habari za hayo hazienei kwa wadau.

kaka hiyo miembe kwa kibaha inapatikana wapi? na dar pia inapatikana wapi? saidia ndugu....
 
inachukua muda gani mpaka nile embe......?
 
Wadau, tuambiane inapatikana wapi hapa dar au kibaha na ni kwa bei gani kwa mti.
 
Siamini nadhani wamekata tawi kubwaa ili wapigie picha
 
Duuuh ! Midogo sana nini ?!
hadi nimeshindwa kuiona kwenye simu yangu ya mchina.
 
Back
Top Bottom