Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,786
- Thread starter
- #81
Chunga sana kauli kwakuwa mkono hauwezi kukufikia mbali lakini kauli husafiri na kubeba Roho ya maangamizi....
Kauli ina nguvu kauli ina uhai na ndio maana kwenye mambo mengi huambiwa toa kauli yako ya mwisho.... Maandishi yapo lakini maandishi bila kauli si chochote... Viapo laana na manuizi vyote hivi vimebeba roho
Kauli ina nguvu kauli ina uhai na ndio maana kwenye mambo mengi huambiwa toa kauli yako ya mwisho.... Maandishi yapo lakini maandishi bila kauli si chochote... Viapo laana na manuizi vyote hivi vimebeba roho