Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 825
- 1,630
Unawashaurije hawa vijana na ni Nini kinakujia akilini ukimuona kijana wa kileo amevaa hivi?
Nani kaona wivu hapo bobu punguza ushostiAcha kuona wivu
Unataka tuvaaje sasa
Si ndy fashion ya vijana wa leoUmarekani mwingi ila ushamba mtupu
..Nguo zina rangirangi kibao mpaka zinaumiza macho wale wazee wa mitumba ndo wanapenda hivyo..