Microwave (Nikai Brand) inauzwa

financial services

JF-Expert Member
May 17, 2017
17,171
40,806
Habari ya weekend!

Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya kuzunguka(office chairs).

Karibu inbox kama hela iliyopo imepungua kidogo, naimani hatutashindwana.
Location: Dar es salaam
 

Attachments

  • 20231104_132126.jpg
    20231104_132126.jpg
    1.3 MB · Views: 23
  • 20231104_132126.jpg
    20231104_132126.jpg
    1.3 MB · Views: 18
  • 20231104_132014.jpg
    20231104_132014.jpg
    1.7 MB · Views: 19
  • 20231104_132211.jpg
    20231104_132211.jpg
    1.5 MB · Views: 18
Habari ya weekend!

Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya kuzunguka(office chairs).

Karibu inbox kama hela iliyopo imepungua kidogo, naimani hatutashindwana.
uko wapi kwanza
 
Habari ya weekend!

Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya kuzunguka(office chairs).

Karibu inbox kama hela iliyopo imepungua kidogo, naimani hatutashindwana.
Location: Dar es salaam
Muuzie rara raree
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom