Microsoft lumia 532

Microsoft lumia 532

mkuu mimi nili order kupitia JUMIA kwa shilingi 192000/- na shipping cost sh 10,000/.

MKUU tuelekeze jinsi ulivyo ipata hiyo simu .kwa mimi huwa naogopa kutumia mitandao. tupe njia za kufuata
 
Nimechukua kwa 250000, ukitaka kuipata kwa urahisi nenda kwenye maduka ya midcom.

nipo Morogoro mkuu hayo maduka ya Midcom yapo maeneo gani hapo dar?
 
At last order yangu imekamilika baada ya kupokea simu yangu ya Microsoft lumia 435.

Gharama halisi ya simu ilikuwa TSHS 192,000/-
Shipping cost (Gharama ya kusafirisha ndani ya Tanzania) TSHS 10,000/-

Jumla TSHS 202,000/-

IMG_20150417_121846.jpg

IMG_20150417_121859.jpg
IMG_20150417_121913.jpg

IMG_20150417_121924.jpg
IMG_20150417_121934.jpg
 
MKUU tuelekeze jinsi ulivyo ipata hiyo simu .kwa mimi huwa naogopa kutumia mitandao. tupe njia za kufuata

Mkuu ukiingia kwenye website ya hawa jamaa www.jumia.co.tz unachagua kitu unachokitaka, then una place order, wao watakupigia ku confirm order yako. then wataanza ku process order. wakati huo wewe unaweza kuingia kwenye account yako na kuendelea ku track order yako. Kizuri kwa hawa jamaa unaweza kulipa pale unapopokea kifaa chako (Cash on Delivery) wameniletea ofisini kabisa.
 
Mkuu ukiingia kwenye website ya hawa jamaa www.jumia.co.tz unachagua kitu unachokitaka, then una place order, wao watakupigia ku confirm order yako. then wataanza ku process order. wakati huo wewe unaweza kuingia kwenye account yako na kuendelea ku track order yako. Kizuri kwa hawa jamaa unaweza kulipa pale unapopokea kifaa chako (Cash on Delivery) wameniletea ofisini kabisa.


mkuu samahani lakini naomba kujua ni njia gani zinazo tumika katika kulipia
 
Mkuu unawezakulipia kwa tigo pesa au kulipa pale unapopokea mzigo wako.
 
-lumia 640- 1gb ram
-lumia 535- 1gb ram
-lumia 532 - 1gb ram
-lumia 430 - 1gb ram

hio 430 ina ram 1gb na bei ya dola 70 tu kabla ya kodi.

nyingi zimetoka mwaka jana mwishoni hadi mwaka huu mwanzoni

Shukrani kwa taarifa mkuu. Mkuu chief hiyo 640 imeshafika Tanzania?bei yake kama unajua please!
 
Chief kuna kitu kinanizingua pale ninapotaka kufanya muamala kwenye mitandao yetu, kuna ujumbe una sema something wrong we can not process your request, hilo limekuwa linanisumbua sana hadi mda mwingine natoa line, sasa sijui ni setting ipi niifanye ili isinisumbue.
 
Chief kuna kitu kinanizingua pale ninapotaka kufanya muamala kwenye mitandao yetu, kuna ujumbe una sema something wrong we can not process your request, hilo limekuwa linanisumbua sana hadi mda mwingine natoa line, sasa sijui ni setting ipi niifanye ili isinisumbue.

sio kwamba ni tatizo la mtandao? si muamala kama wa tigopesa?
 
Tatizo sio network, tatizo lipo kwa sim ussd inaonekana kuna tatizo, japo kuwa muda mwingine inakubali, operation yeyote yenye ussd series za ussd ni tatizo.
 
Tatizo sio network, tatizo lipo kwa sim ussd inaonekana kuna tatizo, japo kuwa muda mwingine inakubali, operation yeyote yenye ussd series za ussd ni tatizo.

hebu jaribu kueka line nyengine uangalie kama tatizo bado lipo.

kama lipo jaribu kucheki kama kuna update ya kusolve. nenda setting halafu phone update
 
Nimejaribu vyote lakin bado inanipa ujumbe ule ule, mda mwingine nikiizima na kuwasha inakubali.
 
Back
Top Bottom