Microsoft lumia 532

Microsoft lumia 532

Muce

Senior Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
116
Reaction score
14
Habari wadau, nimenunua lumia 532 made in vietnam, lakini inanizingua kuunganisha internet, naomba msaada kwa anayejua setting za kuunganisha internet. Nawasilisha.
 
nenda setting halafu access point ingia angalia hamna setting? unaweza add zako click kialama cha jumlisha halafu connection name andika chochote na apn andika internet then save halafu ibonyeze hio setting uliotengeneza kwa nguvu then iactivate. utaona kwa chini setting yako imeandikwa active
 
Asante sana kiongozi nimefanikiwa, hii version ya vietnam unaizungumziaje? nzuri au mbaya, nimekuwa nikitumia version za hungary na finland
 
Asante sana kiongozi nimefanikiwa, hii version ya vietnam unaizungumziaje? nzuri au mbaya, nimekuwa nikitumia version za hungary na finland

makampuni mengi wanatengenezea simu vietnam siku hizi, jamaa wanakuja juu wanashindana na china.

simu yako imetengenezwa hapa
nokia_perspective.jpg


even samsung wamefungua factory vietnam

simu za hungary na finland nafkiri zitakuwa hazitoki tena, microsoft mchumi sana hawezi kukubali simu zitengenezwe huko
 
Asante sana kwa maelekezo, sasa kidogo naanza kupata matumaini sijapotea sana.
 
Hata me nakupa support, nami my lumia 1020 ni made in Vietnam, ipo njema tuu. miaka ijayo hao jamaa watakuwa juu sana. KIBIASHARA ALWAYS CAPITAL TEND TO FLOW IN THE AREA OF LOW COST OF PRODUCTION.

Sasa angalia Vietnam pamoja na kupigana vita na kuuliwa sana na Wamarekani lakini makampuni mengi sana yanahamishia production huko. Vitu vyao ni bora sana cheki kama Adiddas, sahivi Nokia na makampuni mengi tuu ya uzalishaji wa nguo.
Jamaa wameinvest vizuri kwenye human resources.
 
yote hayo mbona lumia ni bei ndogo mpk $34 unapata lumia
 
nenda setting halafu access point ingia angalia hamna setting? unaweza add zako click kialama cha jumlisha halafu connection name andika chochote na apn andika internet then save halafu ibonyeze hio setting uliotengeneza kwa nguvu then iactivate. utaona kwa chini setting yako imeandikwa active

Mkuu chief kwa nini simu nyngi za Lumia zina RAM ndogo ukilinganisha na simu nyingine?
 
nenda setting halafu access point ingia angalia hamna setting? unaweza add zako click kialama cha jumlisha halafu connection name andika chochote na apn andika internet then save halafu ibonyeze hio setting uliotengeneza kwa nguvu then iactivate. utaona kwa chini setting yako imeandikwa active

Chief nahitaji kununua lumia yoyote je maweza kupata kwa bei ya laki moja na nusu
 
Chief nahitaji kununua lumia yoyote je maweza kupata kwa bei ya laki moja na nusu

Second hand Lumia 520, 620 unaweza pata ukitafuta vizuri au hio Lumia 435 ikiingia sokoni hizo ndo zitakua bei zake
 
hizi lumia 435 bugdet phone. zimeshaingia sokoni tayari.

zipo kiongozi nimeziona kariakoo, zimezinduliwa march 2015, pitia google uone specification zake. bei yake wanaanzia 250000.
 
zipo kiongozi nimeziona kariakoo, zimezinduliwa march 2015, pitia google uone specification zake. bei yake wanaanzia 250000.

mkuu mimi nili order kupitia JUMIA kwa shilingi 192000/- na shipping cost sh 10,000/.
 
Habari wadau, nimenunua lumia 532 made in vietnam, lakini inanizingua kuunganisha internet, naomba msaada kwa anayejua setting za kuunganisha internet. Nawasilisha.

mkuu ulichukua kwa shilingi ngapi hiyo?
 
Back
Top Bottom